Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Hakuna mtu uliyemuahidi ndoa afu ukamuacha...? Ushauri wangu ni pigia simu ma x wako wote uwaombe msamaha uliyemkosea atajitokeza tu ikishindikana nenda kwa mtaalamu kwani shi ngapi ....?
 
tatizo LA fungus limekuwa tatizo kubwa sana yan watu wanamwaga pesa zao kwa kununua dawa za kila INA lakini WAP...yan ukitaka kuamini jarib kwenda kila duka LA dawa unalolijua utaishia kupewa gresiofulvin,amphotelicin B,ketoconazole tabs na cream yake, fluconazole n.k..lakini kiukweli hizo dwa ni slow reacting drugs compared na fungal resistivity...kuna dawa kama fluconazole 200gm na Tarbenafile ndizo zinaweza kabiliana na tatizo hill but ni so expensive sana kwa mf .fluconazole 200gm inauzwa kidonge kimoja 2000 na unatakiwa utumie dozi moja complete yenye vidonge 15 so u can see ver very expensive...na ukiajidanganya kutumia vidonge 7 hutapona mpka umalize dozi...hata kwa terbinafile napo ni hivo hivo kama unaweza nenda medical shop mwambie akupe fluconazole 200 gm na sio 150gm yan hapo rudi unipe jibu na usidanganywe kupewa 150 gm ujue Aziponi...

but pia kuna hi I dawa ambayo ndo the best than ever known to most of people...yan watu wanakimbilia kununua dawa za fungas lakini wahaponi...fungus wanapovami mwili wako ni ngumu kutoka kama mwili wako utakuwa na chunus mgongoni au sehemu fungus zilipo...pale kunakuwa na multiple infection au utapata double infection ambayo kwa sasa tuliosomea mambo a skin I diseases au dermatologist tunaita una bacterial fungal infection so kama una MBA au fungas zilizoshindikana usitumie tena dawa yoyote ile ya fungas ila kuna dawa moja hivi ambayo kiukweli ndo itamaliza kila kitu inaitwa Septrin....

chukua septrin za 1000 halfu chukua mafuta madgo ya 300 aina ya baby care au Vaseline..(tafadhali usichanganye na lotion)
saga ile dawa au vile vidonge vyote mpka hakikisha vimekuwa unga haswa...
halafu changanyana mafuta mgando yako kwenye kikope like ..hakikisha unafanya mkologo wa maana...

then ukimaliza use unajipaka asbuhi kila unapomaliza kuoga unaenda kufnya mishe zako halafu jioni unaoga tena kisha unapaka tena...
yani for sure I give you two weeks hakuna hata DOA litakalobaki hapo na utakuja kutueleza juu ya maendeleo yako..

ukiona hujapona fungas badaa ya hiyo kazi bas namba uje hapa JF na azisha Uzi mwingine kwa kunitaji jina langu ili mnihoji juu ya fake advice I give you...
for sure hutaamini machoni mwako yani ni dawa itakayokugalimu kama 1000 lakini utakuwa umepona milele narudia tena milele na milele badala ya kuendelea kutumia dawa ambazo ni garama kubwa sana lakini hakuna lolote...only septrin is the final drug of choice for bacterial fungal infection...
naomba kuanzi Leo usinunue dawa yoyote ile ya fungal make kwanza izo dawa ni very very toxic sana kadri unapozidi kuzitumia..wale wataalamu wa afya watakubaliana na Mimi kuwa ketoconazole is the best liver inducing toxic drug na Mara nying husababisha kidney failure kwa akina mama wajawazito hata felt death can occur..ndo mana tumeitoa kwenye normal drug routine uses...

cha msingi ndg yangu kafanya kama nilivokuambia na wengine ambao mlikuwa hamjui juu ya siri kubwa ya septrin kutibu chronic fungal infections including systemic spread au local spread ila dawa take ndo hiyo..
nakutakia mafanikio mema mkuu...
uaiaite kunipa mrejesho ...
Mzeehe
 
Habari wakuu me nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la muwasho huu ni mwezi wa pili sasa mwanzo cjukua kama ni fangasi ila baada ya kupitia uziii huu nimeamin ni fangasi coz ikifika mida ya saa 12 naanza kuwashwa mapaja corodan na kwenye kichwa cha uume kuna toka vipele vyekundu na nikijikuna nasikia laha ila ndio baadae napata maumivu makari msaada plz kabla cjaanza kuchanganya madawa...na ajabu tumeugua wengi sana sehem hii ninayo ishi si mimi tu pekee angu.....
Ushapata dawa?
 
ushauri mzuri; Hakikisha bokxa unazovaa Ni Safi,. pia nunua mafuta ya nazi ya buku tu uwe unapaka mapumb.... kila ukitaka kuvaa boxa kila siku ili kukata unyrvunyrvu!

nyoa nywele za sehem zako za Siri kila Mara usiache zikue! safisha sink la choo kabla ya kutumia rndapo Ni nyumba ya kuchangia!

Hakikisha unanawa kila baada ya tendo! epuka kukaa na janaba baada kufanya mapenzi bila condom
Kupaka mafuta yanazi kunaua fangus na kuondoka mabakabaka?
 
hello, za jumapili na za ibaada kwa ujumla.
naombe nieleze kwa kifupi dawa iliyonisaidiakupona fagasi baada ya kuteseka nazo kwa zaidi ya miezi sita na kutumia dawa nyingi bila mafanikio...
pamoja na kwamba dawa hii inatibu mmba na fagasi zote ila mimi nijikite kwenye sehemu za siri za mwanaume kwa maana ya makorodani na maumbile yake...
habari nzuri ni kwamba dawa hii inagharim haizidi 1500tsh ya kitanzania,
iko hivi, lotion ya vestline alovera 70g ambayo inauzwa sh. 500, sijajua eneo ulilopo.. halafu chukua dawa ya septline vidonge viwili vipondeponde au visage halafu changanya unga wa hiyo dawa kwenye lotion koroga hadi ujilidhishe kuwa imechanganyikana vizuri, halafu...hapo dawa yako tayari imekamilika unaweza kuwa unapaka mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni, na utapata matokeo
nb, pia unaweza tumia mafuta ya mawese ukawa unapaka sehemu iliyoathirika nayo pia utapata matokeo..
kwa mimi nilitumia vyoyte viwili yaani mafuta ya mawese na huo mchanganyiko wa lotion, ingawa mawese na lotion sikuchanganya nilikuwa napaka tofauti kwa mda mmoja.....
Hata mm nataka nitumie hii ngoja nijarubu
 
Habari wakuu me nimekuwa nikisumbuliwa na tatizo la muwasho huu ni mwezi wa pili sasa mwanzo cjukua kama ni fangasi ila baada ya kupitia uziii huu nimeamin ni fangasi coz ikifika mida ya saa 12 naanza kuwashwa mapaja corodan na kwenye kichwa cha uume kuna toka vipele vyekundu na nikijikuna nasikia laha ila ndio baadae napata maumivu makari msaada plz kabla cjaanza kuchanganya madawa...na ajabu tumeugua wengi sana sehem hii ninayo ishi si mimi tu pekee angu.....
Bosi hii sio fungus ni Scabies tumia BBE inapona .Ila seek dermatology help nimekujibu from symptoms

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu umetumia lugha ngumu kidogo embu nielekez kidogo
Namaanisha huo ugonjwa ulisema unatoa vipele kwenye korodani vinakuwa ka vinundu ila vinawasha hasa usiku .Hii ni dalili inafanana na vimelea (sio fungus) vinavyosababisha ugonjwa uitwao Scabies.Unaambukizwa kwa kuchangia shuka la kulalia yaani kulala na mtu mwenye vimelea kitanda kimoja ,bafu .Kwa hiyo akipata mmoja usishangae unajikuna na wengine wanajikuna. Tiba yake ni dawa inaitwa BBE inauzwa 2000/. Ila ukitumia na usipone basi nenda uonane na wataalam wa ngozi wanaitwa Dermatologist. Ugua pole kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namaanisha huo ugonjwa ulisema unatoa vipele kwenye korodani vinakuwa ka vinundu ila vinawasha hasa usiku .Hii ni dalili inafanana na vimelea (sio fungus) vinavyosababisha ugonjwa uitwao Scabies.Unaambukizwa kwa kuchangia shuka la kulalia yaani kulala na mtu mwenye vimelea kitanda kimoja ,bafu .Kwa hiyo akipata mmoja usishangae unajikuna na wengine wanajikuna. Tiba yake ni dawa inaitwa BBE inauzwa 2000/. Ila ukitumia na usipone basi nenda uonane na wataalam wa ngozi wanaitwa Dermatologist. Ugua pole kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Shukrani sana kaka! Acha nijaribu iyo nilijua ni fangasi mkuu
 
Namaanisha huo ugonjwa ulisema unatoa vipele kwenye korodani vinakuwa ka vinundu ila vinawasha hasa usiku .Hii ni dalili inafanana na vimelea (sio fungus) vinavyosababisha ugonjwa uitwao Scabies.Unaambukizwa kwa kuchangia shuka la kulalia yaani kulala na mtu mwenye vimelea kitanda kimoja ,bafu .Kwa hiyo akipata mmoja usishangae unajikuna na wengine wanajikuna. Tiba yake ni dawa inaitwa BBE inauzwa 2000/. Ila ukitumia na usipone basi nenda uonane na wataalam wa ngozi wanaitwa Dermatologist. Ugua pole kaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo ni dawa ya kuywa mkuu au kumeza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom