MDAU JR
JF-Expert Member
- Mar 9, 2011
- 451
- 82
Tatizo lake ni kama nilivyolieleza, naomba unielekeze hizo dawa MKUUDawa zipo za asili inategemea na tatizo lake lipoje
Ahsante
Tatizo lake ni kama nilivyolieleza, naomba unielekeze hizo dawa MKUUDawa zipo za asili inategemea na tatizo lake lipoje
Text you copy will automatically show herePin copied text snippets to s3f6Text you copy will automatically show herestop them expiring after 1 hourPin copied text snippets to stop them expiring after 1 hourText you copy will automatically show herePin copied text snippets to stop them expiring after 1 hourPin copied text snippets to stop them expiring after 1 hour grade gdy65uHellow wadau!
Ndg yangu anasumbuliwa na fangasi ukeni kwa muda mrefu, ametumia anibiotics mbalimbali na dawa nyingine nyingi zikiwemo za kuinset ukeni lakini hajapata nafuu kwa maana ugonjwa huwa unaondoka na baada ya muda unarejea. Na hili limewahi hata kusababisha ujauzito kutoka.
Naomba msaada ni wapi tunaweza pata mtaalamu wa kumaliza tatizo hili sugu kwa ndugu yetu maana tulianza zahanati mbalimbali za hapa tunapoishi, hospitali ya rufaa mkoa na hata baadaye tulisafiri hadi Regency hospital Dar es Salaam na bado tatizo hili halijakwisha.
Tafadhali tunaomba msaada.
Natanguliza shukrani za dhati.
Ushaua mgonjwa weweMBA:
Saga vidonge 3 au 4 vya septrine (contrimaxle) hadi upate unga laini ,
changanya na mafuta ya mgando (km Vaseline) mls 30 au 40.
Paka mchanganyiko huo sehemu iliyoathirika.
AHSANTE kwa ushauriAisee pole sana...
Niliwahi kupata hao fangas sugu nilihenyeka miezi sita mpaka kidogo niwe mwendawazimu..
Sawa mkuu, ila vitunguu nile vingapi kwa siku?Kula vitunguu swaumu na juice ya limao kwa mfululizo, then baada ya 3weeks Kuja hapa.
🤝Paka BBE kwenye korodani na uume kila unapooga.
Kula hata gunia ukiweza havina madharaSawa mkuu, ila vitunguu nile vingapi kwa siku?
duuhKula hata gunia ukiweza havina madhara
Ninywe juice ambayo ni limao tu bila kuchangwanywa na chochote?Kula vitunguu swaumu na juice ya limao kwa mfululizo, then baada ya 3weeks Kuja hapa.
Watu wanameza dawa za pressure for the rest of their lives na maisha yanaendelea ndo itakuwa miezi 6?Mtu anywe dawa miezi 6?duhh