Fungus husababishwa na wadudu candidas ambao wameweka maskani tumboni na hata ukiwatibu kwenye ngozi nje huwamalizi. google home remedy for fungus utaelekezwa njia nyingi mojawapo kutumia apple cider vineger. Best of luckKuna uzi kama huu ulishawahi kuwekwa humu kuna msamaria akatangaza dawa ya kutengeneza mwenyewe na thaman yake ni buku jero ila no ya uhakika nimetutumia ni mdogo wangu nae zilimtesa mda mrefu sasa anaikibali dawa yenyewe ni kama ifuatavyo kanunue vidonge kumi vya septrin na mafuta kikopo jelly haswa baby care kile kidogo saga vile vidonge had viwe unga kabisa kisha changanya na yale mafuta had ichanganyike kabisa....kisha baada ya hapo paka asubuhi na jioni utajiome muujiza hizo zinginw ndugu unapoteza muda tu.
Nimeipata mkuuKuna mdau humu alielekeza mafuta ya mgando Vaseline unachanganya Na septrin za buku ndan ya simu tatu umepona,nilijarib ilinisaidia saiv naitumia daily sina fangas,kuliko kujiumiza Na malimao.jarib utakija kututhibitishia hapa
Sivaagi natumia boksa tuUsivae chupi kabisa
SIJAWAHI ila katika mazingira ninayoishi upo ntajaribuUlishawahi kutumia mlonge. Nasikia nao unasaidia matatizo ya fangasi. Jaribu kufanya kautafiti.
Sawa mkuu0762766665. Nipigie nitakushauri dawa.
Mkuu unajua haya mambo hayataki utani hili jukwaa serious,mtu anaumwa halaf ww unamwambia mambo dhihaka si jambo jemaJipulizie Hit au Xpell au Doom utakua na wale wadudu tu ka chawa katka vinyoleo vya korodani...
Lkn hakikisha kabla ya kupulizia Xpell hakikisha umelala kifo cha mende na mbele yako feni inapulizia hizo Mali Asili baada ya kujipulizia Xpell au Hit
Mkuu sijakusoma.Jipulizie Hit au Xpell au Doom utakua na wale wadudu tu ka chawa katka vinyoleo vya korodani...
Lkn hakikisha kabla ya kupulizia Xpell hakikisha umelala kifo cha mende na mbele yako feni inapulizia hizo Mali Asili baada ya kujipulizia Xpell au Hit
Sawa mkuuSIJAWAHI ila katika mazingira ninayoishi upo ntajaribu
sure niliitumia hii na ilinisaidia sanaKuna uzi kama huu ulishawahi kuwekwa humu kuna msamaria akatangaza dawa ya kutengeneza mwenyewe na thaman yake ni buku jero ila no ya uhakika nimetutumia ni mdogo wangu nae zilimtesa mda mrefu sasa anaikibali dawa yenyewe ni kama ifuatavyo kanunue vidonge kumi vya septrin na mafuta kikopo jelly haswa baby care kile kidogo saga vile vidonge had viwe unga kabisa kisha changanya na yale mafuta had ichanganyike kabisa....kisha baada ya hapo paka asubuhi na jioni utajiome muujiza hizo zinginw ndugu unapoteza muda tu.
Hii imekaa kitaalamu sana. Big up Kiongozi.TUMIA CREAM KAMA SONADERM KISHA ZIKIPOTEA MEZA VIDONGE(kaombe prescription kwa daktari) kisha Fanya usafi kuanzia paint ya nyumbani kwako na nguo ulizokuwa ukizitumia wakati unaumwa fangas, zichome zote nunua nguo mpya Kabisa(hakikisha unachoma zote isibaki hata leso) ....
Pole, mimi nilikuwaga nazo za miguuni. Zilinitesha balaa. Nilipokwenda kumsalimia bi mkubwa(Mama) nikapata na dawa hukohuko, akaniambia nipake utomvu wa papai bichi lililo changa. Nilipaka. Baada ya siku 3 tatizo kwisha.Kama kichwa cha habari kinavyoeleza, mimi ni wmanaume miaka 25, nilianza kushambuliwa na fangasi nikiwa form two 2007, mpaka naandika huu uzi nimehangaika zaidi ya miaka kumi bila kupata mafanikio,
Nimezunguka hospitali kubwa na ndogo natumia dawa bila mafanikio, nimetumia dawa nyingi za kienyeji bila mafanikio. Fangasi wa kwenye (tests) ngozi ya pumbu sehemu ya pembeni.
Naomba masaada wa dawa ambayo itanisaidia kupona kabisa maana nakosa furaha ya kuishi.
Nb: nimefanya vipimo vyote vya magonjwa ya ngozi vinaonsha ni fangasi.
NiceKuna vidoge vya kumeza,
Fungus hiyo ilitesa wengi sana, ninayo dawa, ni ya kimarekani utapona kuanzia wiki moja..... Kwa maelezo na utaratibu nipigie 0762208190 AU whatsup