Alvin A.
JF-Expert Member
- Oct 14, 2016
- 2,868
- 3,624
haha kwa nnUko vizuri
Haya majani yanaitwaje Mkuu kwa sisi tunaotokea huku mikoa ya nyanda za juu kusini
Sent using Jamii Forums mobile app
dozi yake inakuwa ya muda ganiKwa wale ambao wamekuwa wakihangaika kutibu tatizo hili bila kupona na dawa za hospitalini za kutibu fangasi zimekuwa na gharama sana na pia kushindwa kutibu vizuri tatizo hili tajwa hapo juu.
Dawa nzuri ya asili ni hii hapa.
Chemsha na maji na kunywa kikombe kimoja asubuhi na usiku wakati wa kulala kikombe kingine
View attachment 1288552
View attachment 1288553
Naomba ufafanye kidogo plse unafanyaje kutibu maumivu ya hedhi, make kuna binti anamaumivu sana.Tunauita kivumbas au mbarakuva unatibu maumiv ya tumbo la hedhi kwa nyongeza.
Kuweni makini na haya majani mnayoyameza,,mengine ni sumu..msije kupata Kidney failure
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii no dawa nzuri sana ta tumbo.Mtu anaichoma na kula?
Mtu anaipaka?
Anachemsha na kunywa?
Anaikamulia kwenye uke?
Pia ajaribu kutumia dawa hii ya kupaka TOLNAFTATE TOPICAL SOLUTION ni nzuri sana kwa fungus.
Nunu Tibenafil cream ni combination nzuri sana ya fungasi hasa zilizochanganyika na bacteria infenction staph infection
HIZI NYETI NAPIGA NA PASi KABISACha msingi nenda hospitali uonane na dokta. Pia hakikisha unavaa nguo safi na kavu ukibadilisha chupi kila siku pia uhakikishe kabla ya kuvaa nguo umekausha sehemu hizo nyeti. Zingatia kupasafisha vizuri, ondoa mapovu ya sabuni na kausha vizuri pia.