Tatizo la LUKU kuisha haraka

Zero IQ

JF-Expert Member
Dec 21, 2016
13,917
24,673
Jamani mbona sasa hivi LUKU zinaisha mapema sana tofauti na zamani au tatizo lipo kwangu ,

Zamani nikiweka Umeme wa elfu 20 unakaa mpaka mwezi lakini sasa hivi unakaa almost wiki mbili mpaka wiki tatu ,

Na hakuna kitu kipya ambacho kimeongezeka na matumizi ni Yale Yale ya kila siku.

Jamani hili tatizo ni kwangu tu au hata kwako ulipo nayo ni hivyo hivyo
 
Mtafute mtaalamu wa umeme aliye karibu nawe atakusaidia.
Hilo tatizo huwenda likasababishwa na mojawapo ya haya;
1. Wiring system ya nyumba yako imechoka, inahitajiwa kukarabatiwa upya na hili husababishwa mara nyingi na open circuits na umeme kupotea mwingi sana (electric leakage)
2. Earth mbovu, jaribu kuangalia earthing system huenda imechoka
3. Jaribu kufanyia investigation vifaa unavyo tumia mfano friji n.k


Hayo yote tafuta fundi mzuri wa wiring atakusaidia
 
Mtafute mtaalamu wa umeme aliye karibu nawe atakusaidia.
Hilo tatizo huwenda likasababishwa na mojawapo ya haya;
1. Wiring system ya nyumba yako imechoka, inahitajiwa kukarabatiwa upya na hili husababishwa mara nyingi na open circuits na umeme kupotea mwingi sana (electric leakage)
2. Earth mbovu, jaribu kuangalia earthing system huenda imechoka
3. Jaribu kufanyia investigation vifaa unavyo tumia mfano friji n.k


Hayo yote tafuta fundi mzuri wa wiring atakusaidia
Nashukuru mkuu kwa ushauri wako
 
Fanya hivi mwenyewe kabla ya kumuita fundi,Angalia unit zilizopo kisha nenda kwenye main switch zima na pia hakikisha vitu vyote umezima ndani kisha kaa kama lisaa limoja ama mawili kisha rudi kuangalia unit zilizobaki,ukikuta zimeshuka basi kuna hitilafu ndani na ukikuta bado zilezile basi matumizi yako yatakuwa makubwa,jaribu kufanya ivyo kwanza
 
Fanya hivi mwenyewe kabla ya kumuita fundi,Angalia unit zilizopo kisha nenda kwenye main switch zima na pia hakikisha vitu vyote umezima ndani kisha kaa kama lisaa limoja ama mawili kisha rudi kuangalia unit zilizobaki,ukikuta zimeshuka basi kuna hitilafu ndani na ukikuta bado zilezile basi matumizi yako yatakuwa makubwa,jaribu kufanya ivyo kwanza
Sawa mkuu
 
Jamani mbona sasa hivi LUKU zinaisha mapema sana tofauti na zamani au tatizo lipo kwangu ,

Zamani nikiweka Umeme wa elfu 20 unakaa mpaka mwezi lakini sasa hivi unakaa almost wiki mbili mpaka wiki tatu ,

Na hakuna kitu kipya ambacho kimeongezeka na matumizi ni Yale Yale ya kila siku.

Jamani hili tatizo ni kwangu tu au hata kwako ulipo nayo ni hivyo hivyo
Inawezekana kuna tatizo kwenye earth system.... either hakuna unyevu kwenye eart rod au wiring system ina shida. jaribu kuhakikisha pale earth wire inapofukiwa (earth rod) unapamwagia maji mara kwa mara pawe na unyevu.... ikiendelea kuwa hivyo cheki na fundi
 
Inawezekana kuna tatizo kwenye earth system.... either hakuna unyevu kwenye eart rod au wiring system ina shida. jaribu kuhakikisha pale earth wire inapofukiwa (earth rod) unapamwagia maji mara kwa mara pawe na unyevu.... ikiendelea kuwa hivyo cheki na fundi
Sawa mkuu
 
Back
Top Bottom