Watanzani hatujapata kuwahi kupata mgombea wa Urais mwenye sifa nzuri na asiye na kashfa mtu muadilifu kitaifa na kimataifa tangu uanze mfumo wa vyama vingi zaidi ya Prof Ibrahim Lipumba lakini kwa mtu imekuwa vigumu kukubalika ndani ya nchi yake tofauti na nje, Je tatizo ni uelewa mdogo wa wapiga kura? au ni Jina lake la Ibrahimu?