kimugina
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 1,143
- 577
Natumia mashine aina ya Toshiba tatizo lake nikiitumia bila kuchomeka kwene Chaji inafanya kazi bila shida yoyote, Ishu napo chomeka chaji tu ikiwa imewaka ina stuck,nikizma na kuiwasha kama bado nimechomeka chaji mchezo ni huo huo,
Msaada wenu Wakuu.
Msaada wenu Wakuu.