Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

Kwenda kupima ni jambo jema zaidi.Ila kwa dalili zako kuna uwezekano mkubwa sana damu yako itakuwa na over acidity(yaani kiwango cha acid/tindikali kwenye damu ni cha juu kuliko kawaida).Hii husababishwa na mambo mengi sana kama vile ulaji wa vyakula vibovu na matumizi ya madawa mara kwa mara;
Vyakula vibovu huweza kuwa vile vya kusindikwa viwandani kama vile juice,soda,tomato source nk,ulaji wa nyama kwa wingi,ulaji vya vyakula vya kukaangwa kwa wingi,unywaji wa pombe,uvutaji wa sigara na mengine ambayo si ya asili.
Madawa yanaweza kuwa ya antibiotic,diclofenac,panadol,dawa za kuongeza nguvu za kiume,uzazi wa mpango na mengine kama hayo.
Ili kuondoa tatizo unahitaji kula vyakula vya asili na kuachana na vile nilivyotaja hapo juu,kunywa maji mengi,mboga za majani zisiive sana kama vile spinach,celery,broccoli, juice za matunda kama vile parachichi pamoja na mbegu yake iliyosagwa,juice ya caroti,juice ya tikiti,juice ya papai na embe.Epuka sukari ya viwandani,epuka chumvi ya viwandani/chumvi ya unga na badala yake tumia ile ya mawe.
Kama utakuwa serious kwa kufuata ninayoeleza,kuanzia mwezi mmoja utakuwa umepona kabisa.Karibu.
Ila kwenye hilo la acid kuzidi kwenye damu ndioma linapelekea hlo tatizo mwilini, naomba ufafanuzi kidogo maana namimi n muhanga wa hlo tatizo
 
Ok sasa kwa kifupi tu, wewe una allergy .

Allergy yako inatokana na vitu vifuatavyo-:

  • Nyama hasa nyama ya ngombe
  • kama unalula nguruwe pia
  • Maziwa ya ngombe pamoja na vitu vyote vinavyotengenezwa na maziwa ikiwwmo blue band .
  • samaki wa baharini namaanisha samaki wa maji chumvi.

- Dagaa wa maji chumvi .

- Pafyumu zenye harufu kali pamoja na sabuni zenye harufu kali.

- vumbi la ndani pamoja na ukungu wa nguo kwenye kabati, yani nguo ikiwa kwenye kabati kwa muda mrefu hurusiwi kuivaa .

Dah hii ugonjwa inanitesa for years now especialy nikitoka kuoga, siwez oga bafu chafu au kujifutia taulo bichi au chafu au kurudia nguo manake au kukaa kwenye vumbi inatrigger immidietly. Niliwah zunguka mahospitalini nikakosa sltn ila nikaja kutana na daktari akanipa huu muongozo, kwakifupi aliniambia protini ya wanyama na product zote za wanyama hazinitaki inabid nipambane na ya mimea tu
 
Hii dawa nikiboko yahilo tatizo.
FB_IMG_16208506462707075.jpg
 
Dah hii ugonjwa inanitesa for years now especialy nikitoka kuoga, siwez oga bafu chafu au kujifutia taulo bichi au chafu au kurudia nguo manake au kukaa kwenye vumbi inatrigger immidietly. Niliwah zunguka mahospitalini nikakosa sltn ila nikaja kutana na daktari akanipa huu muongozo, kwakifupi aliniambia protini ya wanyama na product zote za wanyama hazinitaki inabid nipambane na ya mimea tu
20210607_215900.jpg
 
Nawasalimu kwa jina la Mungu Baba popote pale kila mmoja wetu alipo amani ya Bwana iwe pamoja nawe

Leo napenda kuuliza nini tiba ya kuashwa na ngozi? Nimepata tatizo hili takribani mwezi mmoja sasa umepita lakini bado sijapata ahueni ya tatizo hili la kuwashwa na ngozi. Nilienda hospital nikapima damu nikaambiwa nina shida ya fangasi nimetumia dawa lakini shida bado iko palepale.

Sasa unakuwa usumbufu sana kwangu najikuna mpaka najichubua ngozi. Tafadhari yeyote anayejua tiba asisite kunisaidia.

Nawasilisha.
 
Nawasalimu kwa jina la Mungu Baba popote pale kila mmoja wetu alipo amani ya Bwana iwe pamoja nawe

Leo napenda kuuliza nini tiba ya kuashwa na ngozi? Nimepata tatizo hili takribani mwezi mmoja sasa umepita lakini bado sijapata ahueni ya tatizo hili la kuwashwa na ngozi. Nilienda hospital nikapima damu nikaambiwa nina shida ya fangasi nimetumia dawa lakini shida bado iko palepale.

Sasa unakuwa usumbufu sana kwangu najikuna mpaka najichubua ngozi. Tafadhari yeyote anayejua tiba asisite kunisaidia.

Nawasilisha.
Ulishapona mkuu
 
Wakuu tatizo ni nini hasa, mwili unaniwasha, nimeenda hospitalini nikachukua full blood picture mara mbili na hakuna kilichoonekana, baada ya hapo nikapimwa Alergies na kuambiwa nina Allegy kidogo, vipimo vikaonyesha (S-IMMUNOGLOBULIN E 102.0 KU/L H 0.0 -100.0, Mwenye utaalamu anisaidie ni dawa gani naweza tumia kwani sijui hata ni alergy ya nini maana sijawahi patwa nayo, dawa nilizopewa zinaisha now na bado naona nawashwa
 
Wakuu tatizo ni nini hasa, mwili unaniwasha, nimeenda hospitalini nikachukua full blood picture mara mbili na hakuna kilichoonekana, baada ya hapo nikapimwa Alergies na kuambiwa nina Allegy kidogo, vipimo vikaonyesha (S-IMMUNOGLOBULIN E 102.0 KU/L H 0.0 -100.0, Mwenye utaalamu anisaidie ni dawa gani naweza tumia kwani sijui hata ni alergy ya nini maana sijawahi patwa nayo, dawa nilizopewa zinaisha now na bado naona nawashwa
Mkuu Kuwashwa washwa kwa mwili kunatokana na matatizo ya Figo au ini lina uchafu na sumu aka (Toxid) ndio maana ukitumia dawa za hospitali huwezi kupona maradhi yako nitafute mii kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako.


What causes itching in the body?

Itching can be caused by toxins on the skin (contact dermatitis, such as from poison ivy, poison oak, poison sumac, or grass oils), medications, liver disease, kidney disease, insect bites, hives (urticarial), rare forms of skin cancer (mycosis fungoides and T-cell lymphomas), infections (including chickenpox

Itching: Symptoms & Signs​


Itching is a symptom we have all experienced. Nevertheless, itching can be difficult for a person to describe to others. While itching symptoms vary, it typically leads to a peculiarly uncomfortable skin sensation. It may feel as if something is crawling on (or in) your skin. Itching can be diffuse (generalized all over the body) or localized -- all over or confined to a specific spot -- and there are many causes of diffuse and localized itching. Itching symptoms can be associated with

  • rash,
  • dry skin,
  • cracked skin,
  • flaky skin,
  • flaky scalp,
  • skin redness,
  • bumps on the skin,
  • blisters, or
  • spots on the skin.
Itching may be most noticeable at night (nocturnal), during the day, or both. When there are itching symptoms, there can be a leathery or scaly texture to the skin depending on the cause.

Itching can be caused by toxins on the skin (contact dermatitis, such as from poison ivy, poison oak, poison sumac, or grass oils), medications, liver disease, kidney disease, insect bites, hives (urticarial), rare forms of skin cancer (mycosis fungoides and T-cell lymphomas), infections (including chickenpox and fungal infections such as athlete's foot and jock itch), irritation from clothing, eczema, dermatitis herpetiformis, hemorrhoids, and many other conditions, or it can remain unexplained. Infectious causes of itching include sexually transmitted diseases (STDs), parasites (such as scabies, fleas, bedbugs, pinworms, and lice), and viral rashes.

Perhaps the best definition of itching is by the response it evokes -- it is a feeling that makes you want to scratch. Rash or redness can be present with itching from scratching or from the underlying condition. Medically, itching is known as pruritus. Something that is itchy is said to be pruritic.

Summary of Common Itching Symptoms by MedicineNet Staff
A review of our Patient Comments indicated that people with itching may also have coexisting symptoms. One patient reported a sensation of something crawling on her skin, while another mentioned a feeling of something moving in his blood. Sometimes cramping and blistering accompany the itching. A couple of patients noted that taking certain medications caused itching while other medications calmed their itching. Read on to learn more about itching symptoms in our
 
Zingatia usafi yaani oga mara kwa mara Piga pasi nguo na matandiko yako huenda ni dalili za scabies
 
Acha utapeli, dawa za hospitalini zisikutibu wakati wameshaujua ugonjwa.. we unakuja na mitishamba
 
Back
Top Bottom