Tatizo la kuwashwa mwili mara kwa mara- Fahamu chanzo, pata ushauri na tiba ya tatizo hili

Ni tatizo baya linatesa sana tumehangaika kwa muda, tumeenda hospital tumepewa dawa na kuchomwa sindano lakini wapi. Tumetumia sabuni na dawa za kupaka za kila aina tatizo lipo. Kuhusu HIV ni negative. Naomba wataalamu mtusaidie au yoyote anayejua tiba ya tatizo hili.
Kama umetumia dawa za hospitali hujapona nione mimi nipate kukutibia maradhi yako utakuw aunayo matatizo kwenye ini lako na Damu ndipo unasababishwa kuwashwa na kutokwa na vipele nione kwa wakati wako.
 
Kama umetumia dawa za hospitali hujapona nione mimi nipate kukutibia maradhi yako utakuw aunayo matatizo kwenye ini lako na Damu ndipo unasababishwa kuwashwa na kutokwa na vipele nione kwa wakati wako.
Wote tunajifunza.

Kwa maelezo ya mtoa mada, inaonyesha kuna mtu mwingine ambaye anasumbuliwa na tatizo kama lake kwa wakati mmoja.
Je shida ya ini yaweza kuwa ya kwanza kufikiriwa?
 
Wote tunajifunza.

Kwa maelezo ya mtoa mada, inaonyesha kuna mtu mwingine ambaye anasumbuliwa na tatizo kama lake kwa wakati mmoja.
Je shida ya ini yaweza kuwa ya kwanza kufikiriwa?
aende kupima ini na figo lake kwani ini au figo likiwa lina kasoro basi utakuwa unawashwa washwa mwili.
 
Mwanangu anasumbuliwa sana hili tatizo akienda kwa bibi yake
Nimejifunza kitu maji ya chumvi hapatani nayo mana akirudi kwangu hilo tatizo hanal ila akienda kwa bibi yake tu baasi
Sasa katika UZI huu nimejua 7bu nn
 
Naomba kujua ni tatizo gani linalopelekea mpaka mwili kuanza kuwasha unakua kama unachoma choma hivi, afu ukianza kujikuna unahisi kuna raha fulan hiv, Je tiba yake ni ipi?
 
Naomba kujua ni tatizo gani linalopelekea mpaka mwili kuanza kuwasha unakua kama unachoma choma hivi, afu ukianza kujikuna unahisi kuna raha fulan hiv, Je tiba yake ni ipi?
Ungelikwenda Hospitali kupima allargy au kupima damu yako huenda ikawa ni chafu au ungelipima pia ini lako je lipo salama? Katibiwe hospitali hujapona kwa dawa kizungu nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako uguwa pole.
 
Naomba kujua ni tatizo gani linalopelekea mpaka mwili kuanza kuwasha unakua kama unachoma choma hivi, afu ukianza kujikuna unahisi kuna raha fulan hiv, Je tiba yake ni ipi?
Je unapenda kula nyama na vyalula gani nitajie nikwambie kitu.
 
Ungelikwenda Hospitali kupima allargy au kupima damu yako huenda ikawa ni chafu au ungelipima pia ini lako je lipo salama? Katibiwe hospitali hujapona kwa dawa kizungu nitafute mimi kwa wakati wako ili nipate kukutibia maradhi yako uguwa pole.
Ntalifanyia kazi hili, nashukuru sana kwa ushaur
 
Za ng'ombe natumia sanaa
Ok sasa kwa kifupi tu, wewe una allergy .

Allergy yako inatokana na vitu vifuatavyo-:

  • Nyama hasa nyama ya ngombe
  • kama unalula nguruwe pia
  • Maziwa ya ngombe pamoja na vitu vyote vinavyotengenezwa na maziwa ikiwwmo blue band .
  • samaki wa baharini namaanisha samaki wa maji chumvi.

- Dagaa wa maji chumvi .

- Pafyumu zenye harufu kali pamoja na sabuni zenye harufu kali.

- vumbi la ndani pamoja na ukungu wa nguo kwenye kabati, yani nguo ikiwa kwenye kabati kwa muda mrefu hurusiwi kuivaa .
 
Ok sasa kwa kifupi tu, wewe una allergy .

Allergy yako inatokana na vitu vifuatavyo-:

  • Nyama hasa nyama ya ngombe
  • kama unalula nguruwe pia
  • Maziwa ya ngombe pamoja na vitu vyote vinavyotengenezwa na maziwa ikiwwmo blue band .
  • samaki wa baharini namaanisha samaki wa maji chumvi.

- Dagaa wa maji chumvi .

- Pafyumu zenye harufu kali pamoja na sabuni zenye harufu kali.

- vumbi la ndani pamoja na ukungu wa nguo kwenye kabati, yani nguo ikiwa kwenye kabati kwa muda mrefu hurusiwi kuivaa .
Utanisamehe kwa kukosea nipo barabarani mkuu
 
Mie kuna kipind nilikuwa nikioga wakat jua limechomoza nakuwa nawashwa sana, tena sana.
Lakin nilivyoenda pharmacy nikapewa dawa ya minyoo ya kunywa na ikamaliza tatzo.
 
Mie kuna kipind nilikuwa nikioga wakat jua limechomoza nakuwa nawashwa sana, tena sana.
Lakin nilivyoenda pharmacy nikapewa dawa ya minyoo ya kunywa na ikamaliza tatzo.
Pole sana mkuu, tatizo la mtoa mada anaonekana yuko busy sana yani
 
Ok sasa kwa kifupi tu, wewe una allergy .

Allergy yako inatokana na vitu vifuatavyo-:

  • Nyama hasa nyama ya ngombe
  • kama unalula nguruwe pia
  • Maziwa ya ngombe pamoja na vitu vyote vinavyotengenezwa na maziwa ikiwwmo blue band .
  • samaki wa baharini namaanisha samaki wa maji chumvi.

- Dagaa wa maji chumvi .

- Pafyumu zenye harufu kali pamoja na sabuni zenye harufu kali.

- vumbi la ndani pamoja na ukungu wa nguo kwenye kabati, yani nguo ikiwa kwenye kabati kwa muda mrefu hurusiwi kuivaa .
Nashukur kwa ushauri, Je ninachotakiwa kufanya ili nipone hii hali.
 
Back
Top Bottom