Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unamanisha ni dawa mkuu Kama ndivyo nitafanya nakereka sanakunywa chai ya maziwa ya NIDO
Yes mkuu Ila hapa jamvini unaweza kumaliza tatizo lako bila ya kumwona drpata ushauri wa daktrari!
jamani wakuu naombeni dawa ya kuzuia kuwashwa nina mda ss nasumbuliwa na tatizo hili nimetumia dawa lakini wapi cjajua nini tatizo lake nishaurini nitumie dawa gani jamani
tatizo lako wewe ni minyoo.Hili tatizo la kuwashwa hata mimi ninalo,nawashwa usoni hasa muda wa usiku,yaani inakuwa ni kero sana,na bado sijapata tiba.