Namba msaada wa mawazo,nasumbuliwa na tatizo la kuwashwa masikio kwa muda mrefu{miaka 5} hospitali nilipewa vidonge na eardrops havikusaidia,yanawasha kavukavu hayatoi maji. naomba mawazo yenu.
Ziba pua na vidole vyako vya gumba na kinacho fata,funga mdomo halafu jaza upepo mdomoni na kuuzuia kwa muda.Upepo kidogo utasikia kama unatokea masikioni.Fanya hii mara 2-3 kwa siku kadhaa halafu ulete majibu hapa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.