Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume: Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu tatizo hili

Wakuu naombeni msaada wenu wa kina. Nimekua nikijichua/nikifanya punyeto kuna kipindi huwa nakaa hata mwezi bila hata kugusa ila nikisha fanya tena unawezaa kuta nafanya hii hunitokea sana sana nikiwa nyumbani/tukiwa likizo. napata shida msaada wenu wakuuu. nifanye nini wakubwa niache kabisa hii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu naombeni msaada wenu wa kina. Nimekua nikijichua/nikifanya punyeto kuna kipindi huwa nakaa hata mwezi bila hata kugusa ila nikisha fanya tena unawezaa kuta nafanya hii hunitokea sana sana nikiwa nyumbani/tukiwa likizo. napata shida msaada wenu wakuuu. nifanye nini wakubwa niache kabisa hii kitu

Sent using Jamii Forums mobile app
1) Acha kutazama porno

2) usipendee kukaa muda mrefu bila shughuli ya kufanya.


3) Fanya mazoezi
 
Mazoezi: Kufanya mazoezi, mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwa hiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye suala zima la kuwahi kufika kileleni. Hii hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu

2. Vuta Pumzi ya kutosha
Pumua vizuri na kikamilifu, kiungo chochote cha mwili huhitaji nguvu kamili ili kufanya kazi na ndivyo ilivyo kwa habari ya viungo vya uzazi! Unapopumua vizuri na kwa ukamilifu, kiungo hiki hupata nguvu za ziada. Jaribu kupumua kwa ufasaha ili mwili uweze kupata hisia kabla ya kuanza kufanya msuguano. Kwa mfano unapofanya mapenzi inapofikia hatua unataka kukojoa stopisha kufanya na vuta pumzi ya kutosha

3. Mazoezi ya kukojoa mkojo
Wakati unapokwenda kukojoa mkojo, fanya yafuatayo kojoa kwa sekunde mbili then stopisha mkojo, rudia tena kukojoa mjojo kwa eskunde tatu alafu stopisha tena. Fanya mara kwa mara kwa muda wa siku 14 hii pia yasemekana imesaidia baadhi ya watu LAKINI wa watu wenye tatizo la kibofu cha mkojo usijaribu hiii, may cause more problems

4. Team work
Mshirikishe mwenzako kikamilifu, kuridhika kimapenzi ni tukio ambalo wote wawili mnaridhika kikamilifu. Ili kujifunza kujizuia kufika kileleni haraka, ni vizuri kuwasiliana na mwenzi wako wa kimapenzi. Anaweza akakusaidia kushinda tatizo hili la kiaibu, kila unapohisi unataka kukojoa mapema, sema ‘ngoja’ na usitishe kwanza shughuli zote kwa muda kidogo

5. Maandalizi ya Kisaikolojia
Maandalizi kifikra ni mabaya sana, kwa mfano upo ofisini na unajua jioni unakwenda kufanya mapenzi basi jitahidi usiwaze hivyo kabisa. Hii ni mbaya saya maana hormones zinasogea karibu sana unaweza hata kuishia kwenye mapaja ya mwenzi wako. Hata kama una miadi na mwenza wako au unamwndaa mpenzi wako chukulia kama ni kitu ca kawaida sana. Au ukisha mseti mwenza wako jitahidi kusahau kama unakwenda kucheza huo mchezo siku ya hiyo.

6. Movie
Usiangalie movie za mapenzi yenye ‘style’ zenye kuchochea kufika kileleni haraka. Ungaliaji wa movie za namna hii huchochea zaidi kupandisha ashki na mukari wa kufanya mapenzi ambapo unapokutana na mwenza hata kuingiza ni shida na huishia kwenye mlango wa uzazi wa kike. Hii ni kwa sababu kuongeza ari ya kuwaza tendo la ndoa pia inaongeza msisimko kiasi kwamba ukimgusa mpenzi wako tayari umekwishaachia hata kabla ya kuingiza.

7. Thoughts Diversion

Hii techniques inamaanisha kuhamisha mawazo, kwamba unapofanya mapenzi inapofikia hatua unataka kuachia stopisha alafu hamisha mawazo yako kabisa kwenye hilo tukio. Unaweza kufikiria kitu kingine tofauti kabisa mfano unaweza kuwaza watu wanaokudai fedha na kadhalika, kuwaza kitu kingine cha kipumbavu ambacho kitakuondoa kwa muda kwenye eneo hilo just for one minute. Then unaweza kuendelea kama ile haali ya kukojoa imepotea, ni ngumu sana lakini just try

8. Style za Mapenzi
This is another killer for early ejaculation. Kuna baadhi ya style za mapenzi inapendekezwa kufanya baadha ya shoti ya kwanza ndo utumie. Kwa mfano unapoanza kufanya na style ye mbuzi kagoma au chuma mchicha hapo unatafuta balaaa aisee hasa kwa wale ambao wameadhirika na tatizo la kukojoa mapema, hii ni kwasababu style hiyo inakuwa na msisimko wa hali ya juu sana ikimabatana na constriction kwa wote wawili na haitakuchua hata dakika ushaachia wazungu weupe. Hii ni kwasababu shoti ya kwanza huwa ipo karibu sana uilinganisha na shoti ya pili, tatu na kuendelea.

Natumaini kwa leo hizi technieque nane zinaweza kukusaidia kwa namna moja au nyingine

Have wonderful controlled sex but remember
HIV is there and it KILLS!!!
 
Mazoezi: Kufanya mazoezi, mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwa hiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye suala zima la kuwahi kufika kileleni. Hii hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu...
Bonge la points

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Mazoezi: Kufanya mazoezi, mwili wenye afya nzuri daima hufanya kazi vizuri, kwa hiyo kitu rahisi cha kufanya ni kujenga tabia ya kufanya mazoezi ambayo husaidia kukujengea afya njema na kukupa mzunguko mzuri wa damu. Kama una mwili wenye afya basi inaweza kukusaidia kwa namna ya kifikra ambazo huchangia kwenye suala zima la kuwahi kufika kileleni. Hii hutokana na kuongeza kujiamini na kujihusudu...
Dawa ya yote hayo ni kuwa na pesa,financial freedom,.

Tafuteni pesa wadogo zangu,mengine yatakuja tu,

Sasa utaenda kufanya mazoezi,bila hela?!una njaa?!

Hela ya pango,Karo,?!!hujapata!!!

Tafuta cash Kwanza,acheni ujinga,
 
Habari zenu wakuu, natumai uko poa sana popote pale ulipo. Leo nina hamu na natumai kuzungumzia tatizo linalo sababisha kutoweka kwa furaha kunako wanaume wengi. Kukujoa mapema kabla ya kumridhisha mwenza ni tatizo linalowakumba vijana wengi na watu wazima pia, kitu ambacho kinapelekea ndoa nyingi kusambaratika. Leo nataka tuangalie ni zipi haswa sababu zinazopelekea habari hii. Tatizo la kukojoa mapema muda mwengine inakuwa sio tatizo kwasababu mara nyingi habari hii hutokana na akili.

1. HIGH SENSATION
Unajua, kuna watu wana sense kali sana katika mfumo wao wa hisia. Yaani unaweza kumkuta mtu hata hujamkaribia tayari ameshasanukia uwepo wako. Hali hii inaonesha uwezo mkubwa wa utendaji kazi wa akili yako na sio tatizo la kimwili wala katika akili. Hivyo unapokuwa na high sense pana uwezekano wa kumaliza tendo la ndoa kwa haraka zaidi kwasababu kila sexual sensation inapokuwa kubwa ndio kadri unapokuwa karibu na kukojoa. Hivyo, wenye hisia kali, wanahitajia mazoezi ya kudhibiti hisia zao. Mmi leo nitakupa zoezi moja ukalifanye halafu matokeo rudisha kwenye uzi huu. Unapotaka kufanya mapenzi safisha akili yako, ondoa kila kitu mpaka ujihisi mtupu, halafu wakati upomuingilia mwenza, fumba macho yako halafu fikiria jambo ambalo ni tofauti na sex, kama vile kazi, michezo, kumbukumbu za utotoni n.k, halafu anza kufanya kidogo then wakati unavyofanya chunguza hisia zako taratibu. Njia hii itakupa mazoezi ya kukontrol hisia zako. Ili njia iwe effective rudia kwa mara 21 katika siku tofauti. Mabadiliko ya kiakili hayatokei kwa siku moja yanahitaji muda sana.

2. HIGH EXPECTATION

Sababu ya pili ni kuwa na hamu ama matarajio makubwa ya kitendo hiko cha sex. Kwa mfano unaweza sema leo nikifanya nataka nimuoneshe game isiyo ya kitoto, au unapojiambia nitafanya mikao hii na style hile. Unajua unapofikiria hivyo unakuwa unahisi raha lkn bila ya kufahamu unatengeneza tatizo jengine ijpya. Kwasababu unapoanza kufikiria kabla ya kufanya unaifanya akili yako ithubutu kuamini kwamba upo katika tendo husika. Hivyo unavyoingia katika tendo la ndoa unajikuta ni dakika moja kama sio nusu sekunde umeshapiga bao. Kwani mchakato huo ulianza kabla katika mfumo wa akili, na akili ndio inayo control kukojoa ama kutokojoa yaani ejaculation. Hivyo ukienda chumbani ondoa kabisa mawazo ya sex, jiamini halafu ingia kwenye mziki.

3. PUU NYETO (MASTERBATION)

Huu mchezo unafanywa na vijana wengi sana pasi na kufahamu athari zake, Mchezo hu mara nyingi mtu huwa anafanya katika hali ya siri na kwa haraka tena huku akimfikiria mtu fulani na hivyo humpatia sense kwa muhusika kama anafanya kweli kitendo chenyewe. Athari ya kwanza unaiprogramu akili kuwa na mawazo ya sexual kupita kawaida, mtu anaefanya sana mchezo huu, sio ajabu akiona ziwa tu limetuna dakika hiyo hiyo ameshapiga bao. Kwasababu akili inarudi kule kule kwenye kuwaza, maana akili ishazoea kuachia mkojo wakati wa kufikiri kulikoni kutenda, Hivyo puu nyeto inamfanya muhusika siku anayomuingilia mwanamke kukojoa kabla hata ya kumgusa mwanamke au pengine sekunde 20 za kazi huwa tayari kesha kojoa, hii pu nyeto inakuwa ishajenga tabia ya kuachia mkojo kwa haraka na pia imeshajenga tabia ya imagination kuliko in reality. Hivyo solution ni kuacha michezo hii amabyo inapelekea sexual addiction.

4. KUKAA MUDA MREFU BILA YA KUFANYA MAPENZI
Unapokaa siku nyingi bila ya kufanya mapenzi ni lazima kutochukuwa muda mrefu kwenye kitendo husika, yaani utamaliza haraka na hii hutokana na mkusanyiko wa hisia nyingi ambazo hupelekea high sensation kwa hiyo kama ukiwa una muda mrefu haujafanya mapenzi, jaribu kufanya angalau mara 3 kwa week unaweza ukarudi katika hali yako ya kawaida.

5. MIKANGANYIKO YA MAWAZO AMA STRESS
Na hii ni sababu nyegine inayosababisha kukojoa kwa haraka, kwasababu unapokuwa na stress akili inakuwa haipo sawa, unafanya mambo kwa kurupuka na kwa haraka, hivyo sio ajabu kujikuta unawahi kumaliza papper test mapema.

6. MACHOFU
Machofu pia ni sababu ya tatizo hili kwasababu mwili na akili vinakuwa havifanyi kazi inavyotakiwa hivyo ni bora kupumzika kwanza halafu ndio uanze shughuli ukiwa umejipanga vya kutosha.

7. MAUMIVU YA MGONGO NA NYONGA
Kama unasumbuliwa na mgongo au nyonga basi kumaliza haraka kwenye mapenzi kusikushangaze, Kwasababu mgongo unapelekea uchovu na ndiko huo mkojo unakotokea, hivyo kukiwa huko hakuko sawa basi tatizo linaweza kuwepo, Unajua kiungo cha mwanadamu kikichoka na ukilazimisha kifanye kazi basi kitafanya kazi lkn akili italazimisha utendaji wake ufanyike kwa haraka ili kiungo hiko kipate mapunziko. Hivyo jaribu sana kulala chali kwa masaa kadhaa kabla hujafanya mambo yetu.


MATIBABU
Kama inakuchukua dakika moja mpaka kukojoa basi unatakiwa kutumia dawa zinazopungua hisia za mgusano ili kukufanya udumu kwa mda mrefu katika kitendo husika, Usitumie dawa mara zote. Siku nyengine fanya bila ya dawa uone kama kutakuwa na improvement. Jaribu kufanya meditation kila asubuhi ili kuondoa stress au mikanyiko sugu ya mawazo.
Pia unaweza kutumia condom kwasababu inapunguza hisia za mgusano.

Kama inakuchukua zaidi ya dakika moja mpaka kukojoa basi fanya sana mazoezi ili kuondosha stress na pia pendelea kufanya kegel exercise. Pia unatakiwa kufanya mazeoezi ya akili kama vile meditation. Lkn pia jaribu kujifunza kuzuia kukojoa kwenye kitendo husika. Kwa mfano unapohisi unataka kukojoa jaribu kusimama kwa sekunde chache au kubadilisha mikao mara kwa mara. Na pia ondoa fikra za sex wakati wa tendo husika, maana kuna watu wengine wakati wapo juu ya kifua cha mtu fulani wanamfikiria mtu mwengine hapo hapo. Usikate tamaa, kumbuka ulikuwa hata kuendesha baiskel haujui lkn kwa mafunzo taratibu ukajikuta unaelewa, hivyo najua itakuwa ngumu kuzi control hisia zako kwa siku za mwanzo lkn kadri unavyoendelea uatona matokeo mazuri
 
Hebu jaribu kuwa na adabu wewe mtoto huo muda wa kuwaza matofali na mikopo wakati niko juu ya kifua cha mtoto nautoa wapi ?

Utamu wa k usikie kwa wajuba tu hata ukipigwa risasi unaweza usisikie chochote wewe unataka tuwaze madeni ya mikopo?

Be serious please.
 
mi pia nimewahi kua mhanga wa tatizo hili bt suluhu yake nilishauriwa nisiwahi kuanza mchezo yaani nifanye maandalizi dakika 30 na kuendelea, hii inasaidia mwili unapochemka sana ajili ya ngono hupoa then unapokuja fanya mwili unakua umejirudi hapa utafurahia ngono zaidi pia itakufanya ukae kifuani zaidi ya dk10 goli la kwanza ni njia nzuri sana hii japo inahtaji uzidhibiti hisia kwa kutoanza game mapema mpaka zibalance.
 
Huku nako wamepatikana MOTIVATION SPEAKERS mumeacha habari utajiri kupotia Tikiti maji.
Ngoja tufumbe macho tuwaze WAJUMBE walivyotutenda
 
Huku nako wamepatikana MOTIVATION SPEAKERS mumeacha habari utajiri kupotia Tikiti maji.
Ngoja tufumbe macho tuwaze WAJUMBE walivyotutenda
Mkuu jamiiforum ni sehemu huru ya kuwakilisha mawazo, ushauri, ujuzi au kutafuta ufumbuzi juu ya kitu fulani, hivyo kama kitu ukiona kina maana na wewe chukua, ukihisi hakikufai changia vyovyote unavyotaka ila ni bora kuchangia vzr sometimes.
 
Mkuu jamiiforum ni sehemu huru ya kuwakilisha mawazo, ushauri, ujuzi, au kutafuta ufumbuzi juu ya kitu fulani, hivyo kama kitu ukiona kina maana na wewe chukua, ukihisi hakikufai changia vyovyote unavyotaka ila ni bora kuchangia vzr sometimes.
Salute Mkuu,

Nimekuchua ushauri wako wa

"Changia vyovyote"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom