Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,433
- 11,746
Kamuone daktari wa Psychiatric atakutibu vizuri sana.
Huo ni aina ya ugonjwa wa akili .
Vinginevyo labda iwe umerogwa!
Huo ni aina ya ugonjwa wa akili .
Vinginevyo labda iwe umerogwa!
Hivi vidonge unanunua kama njugu?Propranolol kidonge kimoja kila siku huenda zikakusaidia kwa tatizo hili.
Tatizo hata confidence ya kuongea na dokta hanaMkuu..huo ni ugonjwa tafuta wataalamu wa afya ya Akili..watakuandikia Dawa....uione haya Wala Aibu nenda mueleze doctor Hilo Tatizo UTAPATA TIBA SAHIHI...
Aisee
Ushaona movie inaitwa equilibrium?Mkuu usiwe na hofu tens,angalia viongozi wetu wa kitaifa wengi ni vilaza kuliko were lakini angalia wanavyo jiamini.sometime hofu inatokana na kutofahamu mambo mengi na kuwa na yoga ulioptiliza anza kujizoesha kuwashukulia watu wote kuwa wako kama we we.
Ila yote kwa yote ili dunia uwe kwenye equilibrium lazima kuwepo watu wa aina yako.
Anitafute Mimi..nitamsindikiza na nitaongea badala Yake.