ggg
Member
- Nov 3, 2010
- 60
- 0
Wanajamii, naomba mnisaidie kama kuna mtu anafaham wapi ninaweza kupata tiba au tiba ya hili tatizo
mama yangu akitembea, visigino umuuma, na akikaa vinauma kwa ku''pwita", alikwenda hospital akambiwa kuwa ni mnene sana, so apunguze uzito kwa kufanya mazoezi. lakin mpaka sasa hali ni mbaya, kwani anashindwa hata kutembea.jamani kama kuna msaada mwingine ninaweza kuupata naomba mnisaidie. ana uzito wa kilogram 90, umri ni miaka 46 na urefu wa mita 1.5
mama yangu akitembea, visigino umuuma, na akikaa vinauma kwa ku''pwita", alikwenda hospital akambiwa kuwa ni mnene sana, so apunguze uzito kwa kufanya mazoezi. lakin mpaka sasa hali ni mbaya, kwani anashindwa hata kutembea.jamani kama kuna msaada mwingine ninaweza kuupata naomba mnisaidie. ana uzito wa kilogram 90, umri ni miaka 46 na urefu wa mita 1.5