jose mjasiriamali
JF-Expert Member
- Sep 17, 2014
- 1,746
- 1,531
Umri wako tafadhali
ThanksMkuu muende mkafanye check up wote hospitalini usikimbilie dawa kwanza majibu mtakayopat mtapewa ushaur pia u never knw may b uyo demu wako may anatumia njia yoyote ya uzazi wa mpango
Yeyote anaweza kuwa na tatizo. Kikubwa mka check mkuu, ila pia kama vipi ungemuoa kabisa. Hawa watoto wa kuzaa zaa hovyo sio issue
Mbegu zako bado changa. Ulioa ukiwa na miaka 20..!!
DAWA GANI HIYOIpo dawa ya asili ambayo ukiitumia majibu utayapata mazuri
Tupedawa kakaDAWA GANI HIYO
nahis icho kituUkute mwenzio kakuzidi ujanja naye hataki mimba bila ndoa.
Utahangaika sana inabidi ujue je mwenzi wako yupo tayari au la