lee Vladimir cleef
JF-Expert Member
- Feb 5, 2013
- 9,137
- 33,201
Habari wapendwa mabibi na mabwana. Habari za kazi Madaktari na Wauguzi
Kwa miaka nenda miaka rudi wanawake wasipopata ujauzito, lawama zote wamekua wakitupiwa wao.
Hi ni mbaya Sana kwa sababu Mara nyingine tatizo huwa liko kwa mwanaume.
Uchunguzi wa wataalamu ulikuja kubaini kuwa hata mwanaume anaweza kuwa sehemu ya tatizo.
Sasa swali langu linatokana na Mimi mwenyewe kua ndio muhanga. Bila kuficha Wala kudanganya Nina watoto wawili nataka mtoto wa tatu na baadae wa nne tumeshindwa kumpata. Kwa ushirikiano na uwazi kabisa tumeenda wote kupima tatizo pimeonekana upande wangu.
Maswali:
Je, kwa mwanaume kutokuweza kuingiza mimba matibabu yapo? Kwa sababu siku zote tunasikia matibabu ni kwa mwanamke tu.
Nina watoto wawili, sina shaka nao, ukiwaona hata bila kuuliza ni photocopy yangu kwa sura, kuongea, tabia na matendo.
Je, ni nini kilichosababisha nipate tatizo la kutokutia mimba ya tatu. Kwa watoto hao wawili sina shaka na mzazi mwenzangu. Uhakika ni 100 asilimia.
Naomba kujua kama matibabu yapo kwa tatizo la mwanaume kutokuweza kutia mimba.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa miaka nenda miaka rudi wanawake wasipopata ujauzito, lawama zote wamekua wakitupiwa wao.
Hi ni mbaya Sana kwa sababu Mara nyingine tatizo huwa liko kwa mwanaume.
Uchunguzi wa wataalamu ulikuja kubaini kuwa hata mwanaume anaweza kuwa sehemu ya tatizo.
Sasa swali langu linatokana na Mimi mwenyewe kua ndio muhanga. Bila kuficha Wala kudanganya Nina watoto wawili nataka mtoto wa tatu na baadae wa nne tumeshindwa kumpata. Kwa ushirikiano na uwazi kabisa tumeenda wote kupima tatizo pimeonekana upande wangu.
Maswali:
Je, kwa mwanaume kutokuweza kuingiza mimba matibabu yapo? Kwa sababu siku zote tunasikia matibabu ni kwa mwanamke tu.
Nina watoto wawili, sina shaka nao, ukiwaona hata bila kuuliza ni photocopy yangu kwa sura, kuongea, tabia na matendo.
Je, ni nini kilichosababisha nipate tatizo la kutokutia mimba ya tatu. Kwa watoto hao wawili sina shaka na mzazi mwenzangu. Uhakika ni 100 asilimia.
Naomba kujua kama matibabu yapo kwa tatizo la mwanaume kutokuweza kutia mimba.
Nawasilisha.
Sent using Jamii Forums mobile app