tigananaJr
Member
- Sep 12, 2017
- 15
- 13
😂😂😂 sawaa mmkuu
😂😂😂 sawaa mmkuu
KilimanjaroUpo mkoa gani?
Asante mkuu...Mkuu kama sio tatizo na kimaumbile (biological) basi hiyo ni shida ya HOFU/WASIWASI/FEAR/ANXIETY/low confidence/kutokujiamini.
linanitokea hasa nikiwa kwenye tension ya kufanya jambo fulani
Na hasa kuna mazingira yanayo fanya uwe na hiyo hali either kwenye kadamnasi/public au kwenye key point ambayo ilikuwafanya ukaathirika kisaikolojia pengine bila wewe kujua au unajua.
Kuna kitu kinaitwa Post Traumatic Stress Disorder, unaweza kuwa unaishi kwenye kumbukumbu fulani inayoleta hiyo shida.
Kwa usaidizi zaidi unaweza kunicheki.
Pole mwone daktarKilimanjaro
Nikivaa soksi wala halitoki kabisaPole mwone daktar
Nahis ukivaa soksi ukivua harufu na jasho lake ni hatar
Nliwah kuskia kuwa ni dalili ya ugonjwa.. fulani ila sina hakika.Jamani habari zenu, mi naombeni mnisaidie hivi mshawahi kukutana na watu wanaosweat mikononi na miguuni? Kwa anayejua tiba ya hii kitu msaada tafadhali, yani hii hali ni chukizo kwangu mpk najisikia vibaya mwenye anaweza nipa suluhisho ya hii kitu msaada plz...
Subiri wataalamu wanakuja.. kukupa tiba... Ila sidhani kama ni tatizoJamani habari zenu, mi naombeni mnisaidie hivi mshawahi kukutana na watu wanaosweat mikononi na miguuni? Kwa anayejua tiba ya hii kitu msaada tafadhali, yani hii hali ni chukizo kwangu mpk najisikia vibaya mwenye anaweza nipa suluhisho ya hii kitu msaada plz...
SameJamani habari zenu, mi naombeni mnisaidie hivi mshawahi kukutana na watu wanaosweat mikononi na miguuni? Kwa anayejua tiba ya hii kitu msaada tafadhali, yani hii hali ni chukizo kwangu mpk najisikia vibaya mwenye anaweza nipa suluhisho ya hii kitu msaada plz...
Pole sana. Jaribu kwenda hospitalini na ueleze kwa daktari kwa kina juu ya tatizo lako.Jamani habari zenu, mi naombeni mnisaidie hivi mshawahi kukutana na watu wanaosweat mikononi na miguuni? Kwa anayejua tiba ya hii kitu msaada tafadhali, yani hii hali ni chukizo kwangu mpk najisikia vibaya mwenye anaweza nipa suluhisho ya hii kitu msaada plz...
I hope so...Subiri wataalamu wanakuja.. kukupa tiba... Ila sidhani kama ni tatizo
Bado mkuuUmepima sukari? Una unene mkubwa?
Fanya uchecki sukari na kama una unene mkubwa basi punguza mafutaBado mkuu