Tatizo la kutoka makamasi mazito kooni na kwenye ulimi

ndiga

JF-Expert Member
Jan 28, 2014
582
592
Wasalaam ndugu zangu !

Mimi ninasumbuliwa na tatizo la kutoka mate ya kuteleza kwenye ulimi wangu na kooni.

Nikinywa kinywaji kama juice au soda basi mate mazito ya kuteleza huwa yananisumbua mpaka itabidi nianze kukwarua kwarua ulimi wangu kwa meno huku nikitema mara kadhaa ndipo hali hupungua.

Nikiwa nimelala huwa nahisi wakati mwingine kama kubanwa na mafua yanayofanya matundu ya pua yangu kuziba harafu nikilala huwa nakoroma sana.

Wakati wa kupiga mswaki asubuhi nikipitisha kidole kooni huwa natoa uchafu mithili ya makohozi mazito na baadaye kama makamasi kamasi na hali hii huendelea wakati wote natema mate ambayo siyo yale niliyozoea kuyaona zamani.

Hali hii nimekuwa nayo kwa muda mrefu kama miaka miwili bila kupata msaada.

Nilikwenda hospitali ya wilaya Ngudu nikamweleza daktari akaniambia kuwa sina tatizo lolote baada ya kuniambia kuachama na kunimulika kwa tochi akanipa mouth wash nitumie.

Kooni siyo kwamba kunauma au kwamba kuna vidonda au kwamba nina kohoa hapana , ila hali ndiyo hiyo inayoninyima amani maana nikienda hospitali naambia sina tatizo na kidogo yule daktari alionekana kuchukulia kawaida tatizo langu.

Nimeona tatizo langu nililete hapa JF Doctor maana hapa kuna wataalamu mbali mbali wa matatizo yanayotukumba binadamu.

ASANTENI NASUBIRI USHAURI, MUNGU ATUBARIKI WOTE.
 
Makohozi, mate na makamasi ni mfumo-automatiki wa Kinga za mwili.

Hayo mate na makohozi ndio safi sana yanasafisha mdomo na njia za hewa na kuzoa madudu yaliyoganda humo (bacteria, virus, fungi, etc).

Unaonekana unaishi mazingira hatarishi sana yanayoleta vimelea vingi?

Unafua matandiko? Hilo jumba halina mavumbi vumbi?

Unafanya kazi maeneo gani? viwandani ama machimboni ama wapi?
 
Makohozi, mate na makamasi ni mfumo-automatiki wa Kinga za mwili.

Hayo mate na makohozi ndio safi sana yanasafisha mdomo na njia za hewa na kuzoa madudu yaliyoganda humo (bacteria, virus, fungi, etc)...
Nafanya kazi sehemu isiyo na vumbi.
 
Wasalaam ndugu zangu !

Mimi ninasumbuliwa na tatizo la kutoka mate ya kuteleza kwenye ulimi wangu na kooni.
Nikinywa kinywaji kama juice au soda basi mate mazito ya kuteleza huwa yananisumbua mpaka itabidi nianze kukwarua kwarua ulimi wangu kwa meno huku nikitema mara kadhaa ndipo hali hupungua...
Ushawahi zama chumvini?. kama ndio basi itakuwa ni fungus wa kinywa umepata.
 
Una over secretion ya mucus......

Kunywa chai yenye mdalasili na mchai chai kwa wingi.

Tumia juice ya limao. Yaani chupa ya lita moja na nusu ya maji ya Kunywa unakamulia limao moja. Unaweza weka asali.

Usisahau kwenda pharmacy na kununua vidonge vya vitamini C.

Piga mswaki na Tumia dawa ya colgate ile nyeupe. Iwe original maana kuna feki, sugua ulimi vizuri, asubuhi na usiku muda wa kulala.

Punguza matumizi ya vyakula vya kiwandani na sukari za bidhaa za viwandani Mfano soda....

Kunywa sana maji..... Especially ya kuchemsha nyumbani. Haya ya viwandani yana impurities nyingi sana.
 
Una over secretion ya mucus......

Kunywa chai yenye mdalasili na mchai chai kwa wingi...
Asante sana kwa ushauri wako wa kitabibu, nitafanya kadri ya ushauri wako, asante.
 
Wasalaam ndugu zangu !

Mimi ninasumbuliwa na tatizo la kutoka mate ya kuteleza kwenye ulimi wangu na kooni.

Nikinywa kinywaji kama juice au soda basi mate mazito ya kuteleza huwa yananisumbua mpaka itabidi nianze kukwarua kwarua ulimi wangu kwa meno huku nikitema mara kadhaa ndipo hali hupungua.

Nikiwa nimelala huwa nahisi wakati mwingine kama kubanwa na mafua yanayofanya matundu ya pua yangu kuziba harafu nikilala huwa nakoroma sana.

Wakati wa kupiga mswaki asubuhi nikipitisha kidole kooni huwa natoa uchafu mithili ya makohozi mazito na baadaye kama makamasi kamasi na hali hii huendelea wakati wote natema mate ambayo siyo yale niliyozoea kuyaona zamani.

Hali hii nimekuwa nayo kwa muda mrefu kama miaka miwili bila kupata msaada.

Nilikwenda hospitali ya wilaya Ngudu nikamweleza daktari akaniambia kuwa sina tatizo lolote baada ya kuniambia kuachama na kunimulika kwa tochi akanipa mouth wash nitumie.

Kooni siyo kwamba kunauma au kwamba kuna vidonda au kwamba nina kohoa hapana , ila hali ndiyo hiyo inayoninyima amani maana nikienda hospitali naambia sina tatizo na kidogo yule daktari alionekana kuchukulia kawaida tatizo langu.

Nimeona tatizo langu nililete hapa JF Doctor maana hapa kuna wataalamu mbali mbali wa matatizo yanayotukumba binadamu.

ASANTENI NASUBIRI USHAURI, MUNGU ATUBARIKI WOTE.
Pole sana.
Sio kila ushauri unafaa humu, wengine n wapiga ramli tu humu

Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
 
Wasalaam ndugu zangu !

Mimi ninasumbuliwa na tatizo la kutoka mate ya kuteleza kwenye ulimi wangu na kooni.

Nikinywa kinywaji kama juice au soda basi mate mazito ya kuteleza huwa yananisumbua mpaka itabidi nianze kukwarua kwarua ulimi wangu kwa meno huku nikitema mara kadhaa ndipo hali hupungua.

Nikiwa nimelala huwa nahisi wakati mwingine kama kubanwa na mafua yanayofanya matundu ya pua yangu kuziba harafu nikilala huwa nakoroma sana.

Wakati wa kupiga mswaki asubuhi nikipitisha kidole kooni huwa natoa uchafu mithili ya makohozi mazito na baadaye kama makamasi kamasi na hali hii huendelea wakati wote natema mate ambayo siyo yale niliyozoea kuyaona zamani.

Hali hii nimekuwa nayo kwa muda mrefu kama miaka miwili bila kupata msaada.

Nilikwenda hospitali ya wilaya Ngudu nikamweleza daktari akaniambia kuwa sina tatizo lolote baada ya kuniambia kuachama na kunimulika kwa tochi akanipa mouth wash nitumie.

Kooni siyo kwamba kunauma au kwamba kuna vidonda au kwamba nina kohoa hapana , ila hali ndiyo hiyo inayoninyima amani maana nikienda hospitali naambia sina tatizo na kidogo yule daktari alionekana kuchukulia kawaida tatizo langu.

Nimeona tatizo langu nililete hapa JF Doctor maana hapa kuna wataalamu mbali mbali wa matatizo yanayotukumba binadamu.

ASANTENI NASUBIRI USHAURI, MUNGU ATUBARIKI WOTE.
You have
Chronic Sinusitis with chronic post-nasal drip
Tumia
Fluticasone or Monetasone nasal spay
Wasalaam ndugu zangu !

Mimi ninasumbuliwa na tatizo la kutoka mate ya kuteleza kwenye ulimi wangu na kooni.

Nikinywa kinywaji kama juice au soda basi mate mazito ya kuteleza huwa yananisumbua mpaka itabidi nianze kukwarua kwarua ulimi wangu kwa meno huku nikitema mara kadhaa ndipo hali hupungua.

Nikiwa nimelala huwa nahisi wakati mwingine kama kubanwa na mafua yanayofanya matundu ya pua yangu kuziba harafu nikilala huwa nakoroma sana.

Wakati wa kupiga mswaki asubuhi nikipitisha kidole kooni huwa natoa uchafu mithili ya makohozi mazito na baadaye kama makamasi kamasi na hali hii huendelea wakati wote natema mate ambayo siyo yale niliyozoea kuyaona zamani.

Hali hii nimekuwa nayo kwa muda mrefu kama miaka miwili bila kupata msaada.

Nilikwenda hospitali ya wilaya Ngudu nikamweleza daktari akaniambia kuwa sina tatizo lolote baada ya kuniambia kuachama na kunimulika kwa tochi akanipa mouth wash nitumie.

Kooni siyo kwamba kunauma au kwamba kuna vidonda au kwamba nina kohoa hapana , ila hali ndiyo hiyo inayoninyima amani maana nikienda hospitali naambia sina tatizo na kidogo yule daktari alionekana kuchukulia kawaida tatizo langu.

Nimeona tatizo langu nililete hapa JF Doctor maana hapa kuna wataalamu mbali mbali wa matatizo yanayotukumba binadamu.

ASANTENI NASUBIRI USHAURI, MUNGU ATUBARIKI WOTE.
You have
Chronic Sinusitis with post-nasal drip
Tumia
Fluticasone or Mometasone nasal spray
Monterlukast 10mg usiku
Cough expectorant/syrup
 
You have
Chronic Sinusitis with chronic post-nasal drip
Tumia
Fluticasone or Monetasone nasal spay

You have
Chronic Sinusitis with post-nasal drip
Tumia
Fluticasone or Mometasone nasal spray
Monterlukast 10mg usiku
Cough expectorant/syrup
Asante sana mkuu.
 
Back
Top Bottom