SoC01 Tatizo la kutoa mahari ili kuweza kukubaliwa kuoa mke na tatizo hili humuumiza nani zaidi? Mwanamke au mwanaume?

Stories of Change - 2021 Competition
Jul 29, 2021
81
158
Ni kitu cha kushangaza mpaka leo huu mfumo wa kutoa mahali bado unaendelea. Tumefundishwa tokea tulivyo kuwa shule ya msingi ya kuwa mahali sio nzuri kwa mwanamke, inashusha thamani yake katika ndoa, lakini kwanini bado tunaitumia mpaka leo? Ndoa hutokea pale ambapo watu wawili wanapopendana na kukubaliana kuishi kwa pamoja kama mume na mke.

Baada ya watu hao kukubaliana wanabidi waende kwa wazazi wao ili waweze kupata baraka kutoka kwao. Sasa tatizo ndio huanzia hapa, baada ya wazazi wao kuwatakia baraka ili waanze maisha yao , huanza kuleta mambo yasiyokuwa na msingi wala ulazima kama mambo ya mahali. Wazazi wa mwanamke wanapanga mahali kubwa ambayo mwanaume atatakiwa kulipa ili aweze kukubaliwa kumchukua mwanamke.

Nadhani mpaka hapa unakuwa umeona jinsi ambavyo hii tabia ya kulipa mahali inavyoshusha hadhi ya mwanamke na kama bado naomba nikudadavulie vizuri. Mwanamke anapotolewa mahali Ni kwamba anakuwa kama ananunuliwa. Embu jiulize wewe Kama mwanamke Kama umekubali kuwa mwili mmoja na kuanzisha maisha na huyo umpendaye kwanini yeye akulipie mahali?

Kwanini alipe pesa ili akupate? Na akishindwa kukulipia hiyo mahali maanake atashindwa kukoa huoni hiyo ni kama biashara? Na Muda mwingine familia ya mwanamke wanakubaliana na familia ya mwanaume, kuwa mwanaume huyo amuoe binti yao kwa mkopo atakuwa akilipa kidogo kidogo, yaani hapa ndio unaona mfanano uliopo na biashara za mangi za kila siku. Sasa kwanini wewe ukubali kuwa au kufanywa Kama bidhaa?

Andiko kutoka gazeti la BBC linasema kuwa, “Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa kuwa na bei kubwa za mahali, na hii ndio sababu kubwa inayofanya vijana wa kitanzania wasiwe na ndoa rasmi (vijana wengi wanaamua kuchukuana tu na kuishi pamoja bila hata kuoana). Na mahali huwa kubwa kutegemeana na rangi ya mwanamke, mwanamke mwenye rangi nyeupe hutolewa mahali kubwa kuliko mweusi, Na pia ukubwa wa mahali unategemeana na elimu ya mwanamke, kama mwanamke amesoma sana basi mahali yake itakuwa kubwa zaidi zaidi ya ambaye hajasoma Sana au hajasoma kabisa”.

Na mchambuzi wa maswala ya kijamii kutoka Tanzania, Betty Masanja anasema, “Suala zima limegeuzwa na kumfanya mwanamke kuwa chombo au bidhaa tu”. Wazazi wametuzaa na kutulea sawa hatukatai lakini haiwapi wao mamlaka ya kutumia sisi watoto wao hasa watoto wa kike kama mitaji ya wao kujipatia pesa. Ya kwamba watampa mtoto wao kwa mwanaume yeyote atakaye weza kutoa mahali waitakayo.

Najua Kuna watu ambao bado watakuwa kinyume na mimi kuhusu hili swala la mahali, hasa wanawake, ambao huamini kuwa mahali huwapa wao thamani, na kadri mahali inavyokuwa kubwa ndio mwanamke huonekana kuwa na thamini kubwa, kitu ambacho sio kweli. Kwa wanosema kuwa mahali Ni nzuri kwa mwanamke naomba ujiulize haya maswali mawili

Kwanini mahali ipangwe? Tena ipangwe na familia ya mwanamke ? Kama mahali Ni zawadi tu amabayo inatolewa na mwanaume kwa familia ya mwanamke kama shukrani, kwanini ipangwe na familia ya mwanamke? Kwasababu kama shukrani inatakiwa familia ya mwanaume ndio iandae, wajipange wenyewe waone ni kiasi gani walicho na uwezo nacho au watoe samani gani. Sasa kwanini ipangwe?

Kwanini ilipwe na upande mmoja? Na kama mahali Ni shukrani kwanini familia ya upande wa wanaume tu ndio unalazimishwa kutoa? Kwani familia ya mwanamke haitakiwi kushukuru familia ya mwanaume kwa kumlea mwanaume huyo ambaye anaenda kumuoa binti yao?

Nadhani utakuwa umepata mwanga kidogo kuhusu Jambo hili baada ya kujiuliza swali. Najua kaka zangu mtakuwa mnaona kuwa hili sio tatizo lenu, naomba niwaambie kuwa hili tatizo Ni la kwenu pia na tena nadhani hili tatizo huwaumiza wanaume sana kuliko hata wanawake.

Ebu fikiria wewe kijana umebarikiwa kupata mwenza wako na mkaamua mfunge ndoa , Sasa kijana mdogo anaambiwa na familia ya mwanamke atoe mahali ya shilingi laki moja au milioni atazitoa wapi. Na kwa nyakati hizi vijana wengi wanakuwa bado wanatafuta maisha, hawana nyumba wala, mali nyingi, kitendo cha kumwambia atoe pesa ili apate mke unakuwa unamwonea na kumuumiza Sana. Na ndio maana vijana wengi wanaamua wasioe, wanaamua tu kuishi pamoja .

Sasa huoni kuwa tunakuwa tunasababisha vijana wengi kufanya uzinzi? Kwasababu kufanya tendo la ndoa bila kuwa katika ndoa ni nini Kama sio uzinzi?
Ukiachana na kushusha hadhi ya mwanamke, hili tatizo la mahali linachochea kama sio kuwa chanzo cha tatizo la wanaume kupiga wake zao: unajua mtu ukitoa pesa kupata kitu unakuwa na mamlaka nacho na uchungu nacho sana, na ndivyo inavyokuwa kwenye ndoa mwanaume anapotoa mahali.

Mwanaume anamtolea mwanamke mahali alafu wakiwa katika ndoa mwanamke anakuwa hamsikilizi au anapingana na kile anachokisema na akienda kutoa kwa taarifa kwa wazazi hapati msaada wowote , unategemea nini kitakachofuata hapo Kama sio kipigo? Sio kwamba ninai halalisha hii tabia la hasha. Mimi ninaichukie na kuipinga vikali, lakini kama tunataka hili tatizo la kupiga wanawake liishe, tuache kuwaumiza hawa wanaume kwa kuwalazimisha watoe mahali.

Wanawake naomba tutambue kuwa tunathamani sana, na thamani hiyo haiwezi kupimwa au kulinganishwa na pesa yeyote ile. Wewe unathamani kuliko mamilioni au mabilioni ya pesa hivyo usikubali kulinganishwa hivyo. Tusikubali kutolewa mahali kwa maana hii inatushusha thamani yetu sisi Kama wanawake. Tupate muda tukae na wazazi wetu kuongea nae ilituone jinsi mtazamo wao ulivyo na kwa upendo tuweze kuwaeleza upande wetu.

Natumaini kama wazazi ambao wameelimika na kutupenda watatuelewa. Na ili hili tatizo liweze kutatuliwa inabidi watu wa jinsia zote mbili watambue kwanza kuwa hili ni tatizo la wote na sio la wanawake tu. Na kwa pamoja tukiungana tunaweza kulitatua hili tatizo.
 
Nimejifunza mengi nili kuwa sijui, sitakubari kununua mwanamke wa ndoa ni Bora nife single.. umununue alafu bada ya miezi mitatu anze jeuli huu ni ujiga..
 
ni biashara kama biashara nyingine, kununua 'product' aina ya 'papuchi'

sifanyi huo ujinga
 
Ni kitu cha kushangaza mpaka leo huu mfumo wa kutoa mahali bado unaendelea. Tumefundishwa tokea tulivyo kuwa shule ya msingi ya kuwa mahali sio nzuri kwa mwanamke, inashusha thamani yake katika ndoa, lakini kwanini bado tunaitumia mpaka leo? Ndoa hutokea pale ambapo watu wawili wanapopendana na kukubaliana kuishi kwa pamoja kama mume na mke.

Baada ya watu hao kukubaliana wanabidi waende kwa wazazi wao ili waweze kupata baraka kutoka kwao. Sasa tatizo ndio huanzia hapa, baada ya wazazi wao kuwatakia baraka ili waanze maisha yao , huanza kuleta mambo yasiyokuwa na msingi wala ulazima kama mambo ya mahali. Wazazi wa mwanamke wanapanga mahali kubwa ambayo mwanaume atatakiwa kulipa ili aweze kukubaliwa kumchukua mwanamke.

Nadhani mpaka hapa unakuwa umeona jinsi ambavyo hii tabia ya kulipa mahali inavyoshusha hadhi ya mwanamke na kama bado naomba nikudadavulie vizuri. Mwanamke anapotolewa mahali Ni kwamba anakuwa kama ananunuliwa. Embu jiulize wewe Kama mwanamke Kama umekubali kuwa mwili mmoja na kuanzisha maisha na huyo umpendaye kwanini yeye akulipie mahali?

Kwanini alipe pesa ili akupate? Na akishindwa kukulipia hiyo mahali maanake atashindwa kukoa huoni hiyo ni kama biashara? Na Muda mwingine familia ya mwanamke wanakubaliana na familia ya mwanaume, kuwa mwanaume huyo amuoe binti yao kwa mkopo atakuwa akilipa kidogo kidogo, yaani hapa ndio unaona mfanano uliopo na biashara za mangi za kila siku. Sasa kwanini wewe ukubali kuwa au kufanywa Kama bidhaa?

Andiko kutoka gazeti la BBC linasema kuwa, “Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa kuwa na bei kubwa za mahali, na hii ndio sababu kubwa inayofanya vijana wa kitanzania wasiwe na ndoa rasmi (vijana wengi wanaamua kuchukuana tu na kuishi pamoja bila hata kuoana). Na mahali huwa kubwa kutegemeana na rangi ya mwanamke, mwanamke mwenye rangi nyeupe hutolewa mahali kubwa kuliko mweusi, Na pia ukubwa wa mahali unategemeana na elimu ya mwanamke, kama mwanamke amesoma sana basi mahali yake itakuwa kubwa zaidi zaidi ya ambaye hajasoma Sana au hajasoma kabisa”.

Na mchambuzi wa maswala ya kijamii kutoka Tanzania, Betty Masanja anasema, “Suala zima limegeuzwa na kumfanya mwanamke kuwa chombo au bidhaa tu”. Wazazi wametuzaa na kutulea sawa hatukatai lakini haiwapi wao mamlaka ya kutumia sisi watoto wao hasa watoto wa kike kama mitaji ya wao kujipatia pesa. Ya kwamba watampa mtoto wao kwa mwanaume yeyote atakaye weza kutoa mahali waitakayo.

Najua Kuna watu ambao bado watakuwa kinyume na mimi kuhusu hili swala la mahali, hasa wanawake, ambao huamini kuwa mahali huwapa wao thamani, na kadri mahali inavyokuwa kubwa ndio mwanamke huonekana kuwa na thamini kubwa, kitu ambacho sio kweli. Kwa wanosema kuwa mahali Ni nzuri kwa mwanamke naomba ujiulize haya maswali mawili

Kwanini mahali ipangwe? Tena ipangwe na familia ya mwanamke ? Kama mahali Ni zawadi tu amabayo inatolewa na mwanaume kwa familia ya mwanamke kama shukrani, kwanini ipangwe na familia ya mwanamke? Kwasababu kama shukrani inatakiwa familia ya mwanaume ndio iandae, wajipange wenyewe waone ni kiasi gani walicho na uwezo nacho au watoe samani gani. Sasa kwanini ipangwe?

Kwanini ilipwe na upande mmoja? Na kama mahali Ni shukrani kwanini familia ya upande wa wanaume tu ndio unalazimishwa kutoa? Kwani familia ya mwanamke haitakiwi kushukuru familia ya mwanaume kwa kumlea mwanaume huyo ambaye anaenda kumuoa binti yao?

Nadhani utakuwa umepata mwanga kidogo kuhusu Jambo hili baada ya kujiuliza swali. Najua kaka zangu mtakuwa mnaona kuwa hili sio tatizo lenu, naomba niwaambie kuwa hili tatizo Ni la kwenu pia na tena nadhani hili tatizo huwaumiza wanaume sana kuliko hata wanawake.

Ebu fikiria wewe kijana umebarikiwa kupata mwenza wako na mkaamua mfunge ndoa , Sasa kijana mdogo anaambiwa na familia ya mwanamke atoe mahali ya shilingi laki moja au milioni atazitoa wapi. Na kwa nyakati hizi vijana wengi wanakuwa bado wanatafuta maisha, hawana nyumba wala, mali nyingi, kitendo cha kumwambia atoe pesa ili apate mke unakuwa unamwonea na kumuumiza Sana. Na ndio maana vijana wengi wanaamua wasioe, wanaamua tu kuishi pamoja .

Sasa huoni kuwa tunakuwa tunasababisha vijana wengi kufanya uzinzi? Kwasababu kufanya tendo la ndoa bila kuwa katika ndoa ni nini Kama sio uzinzi?
Ukiachana na kushusha hadhi ya mwanamke, hili tatizo la mahali linachochea kama sio kuwa chanzo cha tatizo la wanaume kupiga wake zao: unajua mtu ukitoa pesa kupata kitu unakuwa na mamlaka nacho na uchungu nacho sana, na ndivyo inavyokuwa kwenye ndoa mwanaume anapotoa mahali.

Mwanaume anamtolea mwanamke mahali alafu wakiwa katika ndoa mwanamke anakuwa hamsikilizi au anapingana na kile anachokisema na akienda kutoa kwa taarifa kwa wazazi hapati msaada wowote , unategemea nini kitakachofuata hapo Kama sio kipigo? Sio kwamba ninai halalisha hii tabia la hasha. Mimi ninaichukie na kuipinga vikali, lakini kama tunataka hili tatizo la kupiga wanawake liishe, tuache kuwaumiza hawa wanaume kwa kuwalazimisha watoe mahali.

Wanawake naomba tutambue kuwa tunathamani sana, na thamani hiyo haiwezi kupimwa au kulinganishwa na pesa yeyote ile. Wewe unathamani kuliko mamilioni au mabilioni ya pesa hivyo usikubali kulinganishwa hivyo. Tusikubali kutolewa mahali kwa maana hii inatushusha thamani yetu sisi Kama wanawake. Tupate muda tukae na wazazi wetu kuongea nae ilituone jinsi mtazamo wao ulivyo na kwa upendo tuweze kuwaeleza upande wetu.

Natumaini kama wazazi ambao wameelimika na kutupenda watatuelewa. Na ili hili tatizo liweze kutatuliwa inabidi watu wa jinsia zote mbili watambue kwanza kuwa hili ni tatizo la wote na sio la wanawake tu. Na kwa pamoja tukiungana tunaweza kulitatua hili tatizo.
Kuna tofauti kati ya mahari na mahali.Mahari ni mali inayotolewa kwa binti ili aolewe na mahali ni sehemu fulani.Au siyo wana lugha ya kiswahili?
 
Naunga mkono hoja, wanawake sio bidhaa bali ni wajenzi wa familia na mahari inawashusha hadhi
 
Ni mahaRi sio mahaLi.
Ni kitu cha kushangaza mpaka leo huu mfumo wa kutoa mahali bado unaendelea. Tumefundishwa tokea tulivyo kuwa shule ya msingi ya kuwa mahali sio nzuri kwa mwanamke, inashusha thamani yake katika ndoa, lakini kwanini bado tunaitumia mpaka leo? Ndoa hutokea pale ambapo watu wawili wanapopendana na kukubaliana kuishi kwa pamoja kama mume na mke.

Baada ya watu hao kukubaliana wanabidi waende kwa wazazi wao ili waweze kupata baraka kutoka kwao. Sasa tatizo ndio huanzia hapa, baada ya wazazi wao kuwatakia baraka ili waanze maisha yao , huanza kuleta mambo yasiyokuwa na msingi wala ulazima kama mambo ya mahali. Wazazi wa mwanamke wanapanga mahali kubwa ambayo mwanaume atatakiwa kulipa ili aweze kukubaliwa kumchukua mwanamke.

Nadhani mpaka hapa unakuwa umeona jinsi ambavyo hii tabia ya kulipa mahali inavyoshusha hadhi ya mwanamke na kama bado naomba nikudadavulie vizuri. Mwanamke anapotolewa mahali Ni kwamba anakuwa kama ananunuliwa. Embu jiulize wewe Kama mwanamke Kama umekubali kuwa mwili mmoja na kuanzisha maisha na huyo umpendaye kwanini yeye akulipie mahali?

Kwanini alipe pesa ili akupate? Na akishindwa kukulipia hiyo mahali maanake atashindwa kukoa huoni hiyo ni kama biashara? Na Muda mwingine familia ya mwanamke wanakubaliana na familia ya mwanaume, kuwa mwanaume huyo amuoe binti yao kwa mkopo atakuwa akilipa kidogo kidogo, yaani hapa ndio unaona mfanano uliopo na biashara za mangi za kila siku. Sasa kwanini wewe ukubali kuwa au kufanywa Kama bidhaa?

Andiko kutoka gazeti la BBC linasema kuwa, “Tanzania ni moja ya nchi ambazo zinaongoza kwa kuwa na bei kubwa za mahali, na hii ndio sababu kubwa inayofanya vijana wa kitanzania wasiwe na ndoa rasmi (vijana wengi wanaamua kuchukuana tu na kuishi pamoja bila hata kuoana). Na mahali huwa kubwa kutegemeana na rangi ya mwanamke, mwanamke mwenye rangi nyeupe hutolewa mahali kubwa kuliko mweusi, Na pia ukubwa wa mahali unategemeana na elimu ya mwanamke, kama mwanamke amesoma sana basi mahali yake itakuwa kubwa zaidi zaidi ya ambaye hajasoma Sana au hajasoma kabisa”.

Na mchambuzi wa maswala ya kijamii kutoka Tanzania, Betty Masanja anasema, “Suala zima limegeuzwa na kumfanya mwanamke kuwa chombo au bidhaa tu”. Wazazi wametuzaa na kutulea sawa hatukatai lakini haiwapi wao mamlaka ya kutumia sisi watoto wao hasa watoto wa kike kama mitaji ya wao kujipatia pesa. Ya kwamba watampa mtoto wao kwa mwanaume yeyote atakaye weza kutoa mahali waitakayo.

Najua Kuna watu ambao bado watakuwa kinyume na mimi kuhusu hili swala la mahali, hasa wanawake, ambao huamini kuwa mahali huwapa wao thamani, na kadri mahali inavyokuwa kubwa ndio mwanamke huonekana kuwa na thamini kubwa, kitu ambacho sio kweli. Kwa wanosema kuwa mahali Ni nzuri kwa mwanamke naomba ujiulize haya maswali mawili

Kwanini mahali ipangwe? Tena ipangwe na familia ya mwanamke ? Kama mahali Ni zawadi tu amabayo inatolewa na mwanaume kwa familia ya mwanamke kama shukrani, kwanini ipangwe na familia ya mwanamke? Kwasababu kama shukrani inatakiwa familia ya mwanaume ndio iandae, wajipange wenyewe waone ni kiasi gani walicho na uwezo nacho au watoe samani gani. Sasa kwanini ipangwe?

Kwanini ilipwe na upande mmoja? Na kama mahali Ni shukrani kwanini familia ya upande wa wanaume tu ndio unalazimishwa kutoa? Kwani familia ya mwanamke haitakiwi kushukuru familia ya mwanaume kwa kumlea mwanaume huyo ambaye anaenda kumuoa binti yao?

Nadhani utakuwa umepata mwanga kidogo kuhusu Jambo hili baada ya kujiuliza swali. Najua kaka zangu mtakuwa mnaona kuwa hili sio tatizo lenu, naomba niwaambie kuwa hili tatizo Ni la kwenu pia na tena nadhani hili tatizo huwaumiza wanaume sana kuliko hata wanawake.

Ebu fikiria wewe kijana umebarikiwa kupata mwenza wako na mkaamua mfunge ndoa , Sasa kijana mdogo anaambiwa na familia ya mwanamke atoe mahali ya shilingi laki moja au milioni atazitoa wapi. Na kwa nyakati hizi vijana wengi wanakuwa bado wanatafuta maisha, hawana nyumba wala, mali nyingi, kitendo cha kumwambia atoe pesa ili apate mke unakuwa unamwonea na kumuumiza Sana. Na ndio maana vijana wengi wanaamua wasioe, wanaamua tu kuishi pamoja .

Sasa huoni kuwa tunakuwa tunasababisha vijana wengi kufanya uzinzi? Kwasababu kufanya tendo la ndoa bila kuwa katika ndoa ni nini Kama sio uzinzi?
Ukiachana na kushusha hadhi ya mwanamke, hili tatizo la mahali linachochea kama sio kuwa chanzo cha tatizo la wanaume kupiga wake zao: unajua mtu ukitoa pesa kupata kitu unakuwa na mamlaka nacho na uchungu nacho sana, na ndivyo inavyokuwa kwenye ndoa mwanaume anapotoa mahali.

Mwanaume anamtolea mwanamke mahali alafu wakiwa katika ndoa mwanamke anakuwa hamsikilizi au anapingana na kile anachokisema na akienda kutoa kwa taarifa kwa wazazi hapati msaada wowote , unategemea nini kitakachofuata hapo Kama sio kipigo? Sio kwamba ninai halalisha hii tabia la hasha. Mimi ninaichukie na kuipinga vikali, lakini kama tunataka hili tatizo la kupiga wanawake liishe, tuache kuwaumiza hawa wanaume kwa kuwalazimisha watoe mahali.

Wanawake naomba tutambue kuwa tunathamani sana, na thamani hiyo haiwezi kupimwa au kulinganishwa na pesa yeyote ile. Wewe unathamani kuliko mamilioni au mabilioni ya pesa hivyo usikubali kulinganishwa hivyo. Tusikubali kutolewa mahali kwa maana hii inatushusha thamani yetu sisi Kama wanawake. Tupate muda tukae na wazazi wetu kuongea nae ilituone jinsi mtazamo wao ulivyo na kwa upendo tuweze kuwaeleza upande wetu.

Natumaini kama wazazi ambao wameelimika na kutupenda watatuelewa. Na ili hili tatizo liweze kutatuliwa inabidi watu wa jinsia zote mbili watambue kwanza kuwa hili ni tatizo la wote na sio la wanawake tu. Na kwa pamoja tukiungana tunaweza kulitatua hili tatizo.
 
Hii desturi imeshaota mizizi kuiacha itakua ngumu sana. Uwezi kumuoa mwanamke bila kulipa mahali kwakuwa eti mmependana never.
 
Ndugu mleta tambua inapaswa iitwe mahari na SI mahali, hayo ni maneno mawili yenye maana tofauti kabisa

Badala ya kulaumu, hivi umewahi kujiuliza kwanini mahari iliwekwa tangu enzi na enzi?

Kwanza sio kweli kwamba eti mahari inamshusha mwanamke thamani yake. Mimi nimeoa na nililipa mahari kwa wazazi wa mke wangu na sijawahi kumshusha thamani mke wangu hata siku moja.

Labda tafsiri au mtazamo wako wewe kwamba inamshusha thamani lakini hilo halikuwa lengo la kuweka mahari wakati huo.

Mahari ni alama ya heshima ta kutambua mchango wa wazazi/walezi kwa kumlea binti ambaye hadi muoaji amwone kwamba anafaa kuolewa, mahari ni utamaduni kama ilivyo mila na desturi nyingi za watanzania. Unapotaka mahari iondolewe maana yake unataka kuondoa mojawapo ya mila na desturi muhimu za kitanzania

Mahari sio biashara na wala hailingani na thamani ya binti anayeolewa

Mahari lazima iwepo na iendelee kutolewa, kwa inaenzi utamaduni wa kitanzania kutambua Mchango wa wazazi na walezi kwa kumtunza na kumlea binti vema hadi kuolewa.

Ni sifa na mila yetu watanzania kwa binti kufuatwa/kuchumbiwa na sio kinyume chake.

Kama kuna wazazi wanatoza kiwango kikubwa cha mahari, basi vema kuwaelimisha wazazi hao na si kuondoa kabisa mahari kwani mahari kama mahari haina tatizo

Mojawapo na sifa za mwanaume ni kuweza kumtunza mkewe kwa kumpatia chakula, makazi, mavazi na kumlinda, hivyo kama mwanaume analalamika kulipa mahari ya laki kadhaa kwa ajili ya kutambua mchango wa wazazi Je ataweza kweli kumhudumia mkewe? Ataweza ku provide mlo,makazi, mavazi na kumlinda kweli?

Mahari lazima iwepo na iendelee kuwepo
 
Kiafrika, lengo kuu la kutoa mahari ni kuanzisha au kuimarisha na kuboresha mahusiano kati ya familia za wale wanao oleana.

Ndio maana hata kama kiwango cha mahari kinatofautiana kati ya makabila au koo mbali mbali bado kuna nafasi ya maridhiano kati ya pande zote mbili husika na mchakato mzima unarefushwa ili kuwapa familia zote muda wa kutosha kufahamiana na kupendana kabla ya vijana wao kuoana.

Yote haya yalilenga kuhakikisha ndoa imara na zenye furaha lakini pia kuwashawishi vijana kuwa maisha ya ndoa ni jambo la kutamaniwa huku likihitaji moyo wa kujitoa.

Ukitazama mahari kama muamala wa kibiashara ndipo unapohitimisha kuwa ni kikwazo na mzigo kwa vijana wanaotamani kufunga ndoa au kwamba wazazi wanawauza mabinti zao jambo ambalo si sahihi.

Maisha ya binadamu yoyote hayawezi kuthamanishwa kwa mali bila kujali kuwa ni upande gani unatoa mahari.
 
Ndugu mleta tambua inapaswa iitwe mahari na SI mahali, hayo ni maneno mawili yenye maana tofauti kabisa

Badala ya kulaumu, hivi umewahi kujiuliza kwanini mahari iliwekwa tangu enzi na enzi?

Kwanza sio kweli kwamba eti mahari inamshusha mwanamke thamani yake. Mimi nimeoa na nililipa mahari kwa wazazi wa mke wangu na sijawahi kumshusha thamani mke wangu hata siku moja.

Labda tafsiri au mtazamo wako wewe kwamba inamshusha thamani lakini hilo halikuwa lengo la kuweka mahari wakati huo.

Mahari ni alama ya heshima ta kutambua mchango wa wazazi/walezi kwa kumlea binti ambaye hadi muoaji amwone kwamba anafaa kuolewa, mahari ni utamaduni kama ilivyo mila na desturi nyingi za watanzania. Unapotaka mahari iondolewe maana yake unataka kuondoa mojawapo ya mila na desturi muhimu za kitanzania

Mahari sio biashara na wala hailingani na thamani ya binti anayeolewa

Mahari lazima iwepo na iendelee kutolewa, kwa inaenzi utamaduni wa kitanzania kutambua Mchango wa wazazi na walezi kwa kumtunza na kumlea binti vema hadi kuolewa.

Ni sifa na mila yetu watanzania kwa binti kufuatwa/kuchumbiwa na sio kinyume chake.

Kama kuna wazazi wanatoza kiwango kikubwa cha mahari, basi vema kuwaelimisha wazazi hao na si kuondoa kabisa mahari kwani mahari kama mahari haina tatizo

Mojawapo na sifa za mwanaume ni kuweza kumtunza mkewe kwa kumpatia chakula, makazi, mavazi na kumlinda, hivyo kama mwanaume analalamika kulipa mahari ya laki kadhaa kwa ajili ya kutambua mchango wa wazazi Je ataweza kweli kumhudumia mkewe? Ataweza ku provide mlo,makazi, mavazi na kumlinda kweli?

Mahari lazima iwepo na iendelee kuwepo
Anaweza akalipa mtaji wote wa biashara halafu kifuatacho...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom