Tatizo la Kushindwa Kupumua vizuri hasa unapolala

Kurunzi

JF-Expert Member
Jul 31, 2009
9,277
9,912
Naomba niwashirikishe kilichonipata ili angalau walio na tatizo kama lililonipata waweze kujua pakuanzia.

Miezi ya hivi karibuni nnapatwa na hali flani ya kukosa pumzi na Kupumua kwa shida, hali hii hujitokeza zaidi wakati wa usiku minapo lala hali hii wakati inajitokeza mara nyingi nikisafisha Koo kwa kukohoa basi napata auheni kidogo lakini hali baadaye inarudi pale pale.

Baada ya kuona hali inaendele kuwa mbaya siku hadi siku ilibidi niende hospital nilienda hospitali ya Rabininsia pale Tegeta baada ya kuongea na Dr na kunifanyia vipimo vya Damu na X-ray hawakuona tatizo lolote hata hivyo Dr. Alinikandikia Dawa za kutumia mwezi mzima (Montelukast tab na Salmetrol inheiler) za kutumia, mbaya zaidi zinauzwa ghali tena na hazipo kwenye bima.

Nilitumia sawa kama nilivyoshauriwa na Dr. Hata hivyo sikupata nafuu yoyote tena hali ilizidi kuwa mbaya sana ikafikia wakati napata kikohozi kikavu nakohoa mpaka tumbo linauma pia kufua nakuwa kama nakoroma (wheezing) ninapolala.

Nakumbuka siku moja nilibanwa sana usiku nikawa nakohoa sana nikakosa kabisa usingizi mpaka kunakucha nilipata wasiwasi nikahisi tatizo la moyo nini au kifua kikuu yaani nilikuwa na mawazo kweli kweli.

Kesho yake asubuhi nikaongea na jamaa yangu akanielekeza hospitali moja ipo Bagamoyo zinga aliniambia ina madaktari wazuri ikabidi nifunge safari mpaka Bagamoyo Zinga ingawa sikuwa na Imani Sana Kama nitaweza kupata matibabu.

Baada ya kunisikiliza ninavyojisikia na kuniuliza maswali hasa juu ya life style yangu bila hata kunifanyia vipimo moja kwa moja aliniambia na tatizo la Acid, ( Acid Reflux) kwakweli siku muelewa kabisa niliona ni wale wale nilijaribu kumwambia kwanini asinipime akasema hapana akasema atanindikka sawa ikiwa Hali haitakuwa vema nirudi.

Alinikandikia Dawa za wiki 2 Omeprozole na Antacid Gel pia aliaambia niache aina flani ya Chakula hasa vinavyosababisha acid nk.

Kiukweli nilijisemea moyoni nitazimeza siku 3 au 4 kama sijapati nafuu yoyote naachana nazo naenda Muhimbili nikafanye uchunguzi wa Moyo.

Nashukuru siku ya 3 baada ya kutumia dawa nikaanza kuona nafuu ile hali kukosa pumzi ikaisha ghafla na kikozi kikaanza kulainika kadri ya siku zinaenda. Hali ikawa nzuri mpaka siku namaliza dawa nilikuwa nipo Safi kabisa.

Nilirudi hospitali kumuona tena Dr lengo likiwa kumshukuru aliniambia hapo ndipo aliponipa somo juu ya huo ugonjwa alisema unaitwa Chronic Acid Flux au GERD alisema ugonjwa huu husababishwa na mambo kadhaa lakini kifupi ni kiasi cha Acid au Digestive acid juices (nyongo) inarudi nyuma kwenye kiumio au Koo na kublock mfumo wa upumiaji au acid inaenda mpaka kwenye mapafu hivyo kusababisha tatizo la kukosa pumzi au kupumua kwa shida nk

Alinisihi ili nisipate tena tatizo hilo nibadilishe mfumo wangu wa maisha napaswa kujiepusha na vyakula vya acid, pombe, heavy meal badala yake nile chakula kidogo mara nyingi, nijiepushe na kula mlo then naenda kulala nipate walau masaa 2 au 3 ndiyo nikalale.

Kweli namshukuru sana kwa sasa nipo na afya njema.
 
Una aleji na lile vumbi jepesiii na wakati mwingine unaona kolomero kinawasha kwa ndani
 
Kuna sehemu unaenda pata tiba mpaka unajiuliza hivi nitapona kweli ikiwa nilipotoka (hospital yenye jina, vifaa na dawa zote) wameshindwa? Alafu unamkuta daktari very simple... lakini mwisho wa siku ndipo unapopata tiba sahihi. Ndipo unapogundua kikubwa ni maarifa na ujuzi na sio mitambo na jina la hospital!

Anyway Kuna Daktari aliyetumbuliwa kwa cheti 'feki' (sio chake kidato Cha nne) lakini huwa nina imani nae kuliko waliopo hospitalini.
 
Mkuu alichokuambia doctor ndio sahihi, hebu jaribu kujiepusha kabisa na vyakula vyenye kuleta au kusababisha ongozeko la acid, baadhi ya matunda pia hushauriwi kuyatumia mfano parachichi na ndizi mbivu, lakini pia jiepushe na maziwa hasa fresh.

Tumia mto wakati wa kulala, hakikisha kichwa kinakuwa juu, pia subiri hadi Masaa matatu Mara baada ya kula kabla ya kwenda kulala ili kuupa mwili muda wa kumengenya chakula ulichokula.

Si hayo tu lakini pia jitahidi sana kuwa mtu wa furaha, epuka kuruhusu msongo wa mawazo hakika utapata unafuu.

Mwisho naweza kukushauri utumie unga wa mlonge katika kutatua shida yako hakika utapata nafuu zaidi na kukupa ahueni ya kurudi katika life style uliyoizoea

Pole sana mkuu, naomba nikutakie afya njema na Mungu akusaidie
 
Mkuu alichokuambia doctor ndo sahihi,hebu jaribu kujiepusha kabisa na vyakula vyenye kuleta au kusababisha ongozeko la acid ,baadhi ya matunda pia hushauriwi kuyatumia mfano parachichi na ndizi mbivu,lakini pia jiepushe na maziwa hasa fresh...
Kweli mkuu nimeshauriwa kulala kwa mto wa angalau nchi 8, pombe pia nimeacha kwa muda (Sijui nitaweza naenda Moshi) najitahidi kufuata masharti kwakweli nashukuru sana mkuu
 
Naomba niwashirikishe kilichonipata ili angalau walio na tatizo Kama lililo nopata waweze kujua pakuanzia

Miezi ya hivi karibuni nnapatwa na hali flani ya kukosa pumzi na Kupumua kwa shida, hali hii hujitokeza zaidi wakati wa usiku minapo lala hali hii wakati inajitokeza Mara nyingi niki safisha Koo kwa kukohoa basi napata auhenj kidogo lakini hali baadaye inarudi pale pale.

Baada ya kuona hali inaendele kuwa mbaya siku hadi siku ilibidi niende hospital nilienda hospitali ya Rabininsia pale Tegeta baada ya kuongea na Dr na kunifanyia vipimo vya Damu na X-ray hawakuona tatizo lolote hata hivyo Dr. Alinikandikia Dawa za kutumia mwezi mzima (Montelukast tab na Salmetrol inheiler) za kutumia, mbaya zaidi zinauzwa ghali tena na hazipo kwenye bima

Nilitumia sawa Kama nilivyoshauriwa na Dr . Hata hivyo sikupata nafuu yoyote tena hali ilizidi kuwa mbaya Sana ikafikia wakati napata kikoozi kikavu nakohoa mpaka gumbo linauma pia kufua nakuwa Kama nakoroma (wheezing) ninapolala.

Nakumbuka siku moja nilibanwa sana usiku nikawa nakohoa sana nikakosa kabisa usingizi mpaka kunakucha nilpata wasi wasi nikahisi tatizo la moyo nini au kifua kikuu yaani nilikuwa na mawazo kweli kweli.

Kesho yake asubuhi nikaongea na jamaa yangu akanielekeza hospital moja ipo Bagamoyo zinga aliniambia ina madaktari wazuri ikabidi nifunge safari mpaka Bagamoyo zinga ingawa sikuwa na Imani Sana Kama nitaweza kupata matibabu

Baada ya kunisikiliza ninavyojisikia na kuniuliza maswali hasa juu ya life style yangu bila hata kunifanyia vipimo moja kwa moja aliniambia na tatizo la Acid, ( Acid Reflux) kwakweli siku muelewa kabisa niliona ni wale wale nilijaribu kumwambia kwanini asinipime akasema hapana akasema atanindikka sawa ikiwa Hali haitakuwa vema nirudi.

Alinikandikia Dawa za wiki 2 Omeprozole na Antacid Gel pia aliaambia niache aina fluni ya Chula hasa vinavyosababisha acid nk.

Kiukweli nilijisemea moyoni nitazimeza siku 3 au 4 kama sijapati nafuu yoyote naachana nazo naenda Muhimbili nikafanye uchunguzi wa Moyo.

Nashukuru siku ya 3 baada ya kutumia dawa nikaanza kuona nafuu ile hali kukosa pumzi ikaisha ghafla na kikozi kikaanza kulainika kadri ya siku zinaenda Hali ikawa nzuri mpaka siku namaliza dawa nilikuwa nipo Safi kabisa.

Nilirudi hospitali kumuona tena Dr lengo likiwa kumshukuru aliniambia hapo ndipo aliponipa somo juu ya huo ugonjwa alisema unaitwa Chronic Acid Flux au GERD alisema ugojwa huu husababishwa na Mambo kadhaa lakini kifupi ni Kiasi cha Acid au Digestive acid juices (nyongo) inarudi nyuma kwenye kiumio au Koo na kublock mfumo wa upumiaji au acid inaenda mpaka kwenye mapafu hivyo kusababisha tatizo la kukosa pumzi aku kupumia kwa shida nk

Alinisihi ili nisipate tena tatizo Hilo nibadilishe mfumo wangu wa maisha napswa kujiepusha na vyakula vya acid, pombe, heavy meal badala yake Nile chakula kidogo Mara nyingi, nijiepushe na kula mlo then naenda kulala nipate walau masaa 2 au 3 ndiyo nikalale.

Kweli namshukuru sana kwa Sasa nipo na afya njema.
CHRONIC ACID REFLUX.jpg

GERD Symptoms: Signs of Acid Reflux Disease

GERD can look and feel different for each patient. Although chronic reflux can entail a wide range of symptoms, they can be broadly grouped as typical or atypical depending on their severity.
Mild sufferers may experience heartburn and regurgitation on occasion, perhaps after indulging in a heavy meal or greasy or acidic foods. Changes to diet are sometimes sufficient to alleviate these symptoms and control mild acid reflux. Severe chronic GERD sufferers can experience symptoms as often as several times a week or even daily.

Typical GERD Symptoms​

Contrary to popular belief, you don’t always experience heartburn when you have GERD. Although this is the most common symptom, it is not a guaranteed warning sign of GERD — nor is the absence of heartburn enough to rule out GERD. People managing GERD will often blame acid reflux for some or all of their symptoms. However, there are other stomach fluids besides acid that can reflux and cause discomfort and damage. In fact, non-acid reflux carries enormous risk to the esophagus, even if they aren’t as obvious a sign of GERD.
Typical or common GERD symptoms include the following:
  • Heartburn
  • Difficulty swallowing
  • Excessive salivation
  • Regurgitation
  • Gas and bloating
  • Pain or discomfort in the chest
  • Intolerance of certain foods and liquids
  • Bad breath or a sour taste in the mouth

Atypical GERD Symptoms​

Atypical or other less common GERD symptoms include the following:
  • Hoarseness or laryngitis
  • Frequent swallowing
  • Asthma or asthma-like symptoms
  • Excessive clearing of the throat
  • Chronic dry, irritated, or sore throat
  • Persistent cough
  • Burning in the mouth or throat (acid taste in the mouth)
  • Dental erosions or therapy-resistant gum disease or inflammation
  • Discomfort in the ears and nose
  • Trouble sleeping
 
View attachment 1641200

GERD Symptoms: Signs of Acid Reflux Disease

GERD can look and feel different for each patient. Although chronic reflux can entail a wide range of symptoms, they can be broadly grouped as typical or atypical depending on their severity.
Mild sufferers may experience heartburn and regurgitation on occasion, perhaps after indulging in a heavy meal or greasy or acidic foods. Changes to diet are sometimes sufficient to alleviate these symptoms and control mild acid reflux. Severe chronic GERD sufferers can experience symptoms as often as several times a week or even daily.

Typical GERD Symptoms​

Contrary to popular belief, you don’t always experience heartburn when you have GERD. Although this is the most common symptom, it is not a guaranteed warning sign of GERD — nor is the absence of heartburn enough to rule out GERD. People managing GERD will often blame acid reflux for some or all of their symptoms. However, there are other stomach fluids besides acid that can reflux and cause discomfort and damage. In fact, non-acid reflux carries enormous risk to the esophagus, even if they aren’t as obvious a sign of GERD.
Typical or common GERD symptoms include the following:
  • Heartburn
  • Difficulty swallowing
  • Excessive salivation
  • Regurgitation
  • Gas and bloating
  • Pain or discomfort in the chest
  • Intolerance of certain foods and liquids
  • Bad breath or a sour taste in the mouth

Atypical GERD Symptoms​

Atypical or other less common GERD symptoms include the following:
  • Hoarseness or laryngitis
  • Frequent swallowing
  • Asthma or asthma-like symptoms
  • Excessive clearing of the throat
  • Chronic dry, irritated, or sore throat
  • Persistent cough
  • Burning in the mouth or throat (acid taste in the mouth)
  • Dental erosions or therapy-resistant gum disease or inflammation
  • Discomfort in the ears and nose
  • Trouble sleeping
Asante Sana kwa maelezo mazuri
 
Kuna sehemu unaenda pata tiba mpaka unajiuliza hivi nitapona kweli ikiwa nilipotoka (hospital yenye jina,vifaa na dawa zote) wameshindwa? Alafu unamkuta daktari very simple...lakini mwisho wa siku ndipo unapopata tiba sahihi. Ndipo unapogundua kikubwa ni maarifa na ujuzi na sio mitambo na jina la hospital!

Anyway Kuna Daktari aliyetumbuliwa kwa cheti 'feki' (sio chake kidato Cha nne) lakini huwa Nina imani nae kuliko waliopo hospitalini
Mkuu umeongea ukweli.
Wife alikuwa anasumbuliwa na miguu akiamba asubuhi hawezi kanyaga ardhi, ni kama anakanyaga misumari chini.
Tulihangaika mahopitali makubwa na madawa ya bei ghali lakini holaa.

Aisee alikuja pata Tiba kwenye ka maabara fulani mtaani, alipeleka Dogo kucheki afya. Akamshirikisha huyo daktari issue yake ya miguu, Dogo akamwandikia dawa kama utani wife akazinunua, akatumia leo ni mwaka wa nne keshapona.
 
Mkuu umeongea ukweli.
Wife alikuwa anasumbuliwa na miguu akiamba asubuhi hawezi kanyaga ardhi,ni kama anakanyaga misumari chini.
Tulihangaika mahopitali makubwa na madawa ya bei ghali lakini holaa.

Aisee alikuja pata Tiba kwenye ka mahabara Fulani mtaani,alipeleka Dogo kucheki afya .akamshirikisha huyo daktari issue yake ya miguu,Dogo akamwqndikia Dawa kama utani wife akazinunua,akatumia Leo ni mwaka Wa NNE keshapona.
Alitumia dawa gani mkuu?
 
Back
Top Bottom