Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.

Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.

Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.

Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.

Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Anzisha chama chako,Mbowe mwachie chadema ili imfie mikononi,Kama alivyofanya Zitto.
 
Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.

Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.

Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.

Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.

Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
Kwanza chai umeshakunywa?vipi una uhakika wa mlo wa mchana?je ikifika jioni pakulala papo?TUANZIE HAPO KWANZA,THEN TURUDI KWA MBOWE...
 
Hua nasema kila siku humu.

Mbowe, Lipumba, Zitto wanadhooficha harakati za demokrasia nchi hii.

Haiwezekani chadema wasitengeneze succession plan ya mtu mwingine mwenye uwezo kumrithi Mbowe halafu wanataka tuwakabidhi nchi yetu, hivi si watabadili katiba watawale milele?

Zitto amejipa cheo cha juu ambacho hakipigiwi kura, eti kiongozi mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama. Hataki uchaguzi, hapo anataka uchaguzi huru kwenye nchi huku yeye hauonyeshi huo uhuru kwenye chama chake.

Wapinzani wa nchi hii ndio wanaua demokrasia. Demokrasia wanaiongea mdomoni lakini mioyoni mwao ni madikteta wakubwa, hawataki upinzani kwenye chama, hawataki uchaguzi kwenye vyama na hata wakifanya uchaguzi ni geresha tu ila wao wako pale pale.

Hivi wao demokrasia ni uchaguzi mkuu wao washinde ila kwenye vyama hakuna demokrasia?

Vyama vya siasa Tanzania ni family party, sio political party. Vinatumika kwa maslahi ya viongozi wake. Zitto anaitumia ACT kwa maslahi yake, Chadema Mbowe anaitumia kwa maslahi yake.

Nchi hii CCM majanga, upinzani vimeo.
 
Makamanda siku chama chetu kikirudi mikononi mwa wananchi wapenda haki na maendeleo basi mwaka 2025 tunakamata dola.

Ccm ni chama dhaifu na wakora na kwa sababu hiyo kwa huu utawala wa huyu mama wataharibu sana na kupoteza imani kwa wanachi. Maana watafanya ufisadi wa kufa mtu.

Hivyo ili tuchukue dola mwaka 2025 lazima Mbowe na matapeli wanaotuharibia chama kwa kufanya mali yao tuwaondoe.

Mwaka 2025 hii nchi ni yetu.
 
Makamanda siku chama chetu kikirudi mikononi mwa wananchi wapenda haki na maendeleo basi mwaka 2025 tunakamata dola.

Ccm ni chama dhaifu na wakora na kwa sababu hiyo kwa huu utawala wa huyu mama wataharibu sana na kupoteza imani kwa wanachi. Maana watafanya ufisadi wa kufa mtu.

Hivyo ili tuchukue dola mwaka 2025 lazima Mbowe na matapeli wanaotuharibia chama kwq kufanya mali yao tuwaondoe.

Mwaka 2025 hii nchi ni yetu.
Kamanda upo sawa.
 
Nachangia hapa Kwa mawazo huru kabisa kulingana na hali navyoiona , japo mi siyo fan wa jiwe hata kidogo.

Chadema Wana nafasi ya kujikusanya na wakidhamiria 2025 wanachukua nchi , Ila wanatakiwa wawe wanafk kupitiliza......

1.Kanda ya ziwa ni kanda yenye nguvu Sana kwenye sanduku la Kura and believe me wanazengo wa kule hawana imani kabisa na mama , hii inatokana pia na mfumo dume wa makabila hayo, pamoja na tetesi zilizozagaa kuwa kiongozi wao aliuawa..! Hvyo Chadema wasimwache Maghufuli , waeleze mabaya yake na mazuri yake alaf wamalizie Tu Kwa kusema heri Maghufuli kuliko mama, aiseee wanatoka na kijiji kule .....

2.Mikoa ya kaskazini hyo hakuna shida ni ya Chadema

3. Ufisadi utakuwepo wa kutosha sababu mama anaonekana hayupo solid

4. Mama kuwa karbu na kikwete mtu ambaye ana ushawishi Kwa wafanyakaz , na kundi la watu wa kipato cha Kati na juu, Ila kundi la maskini ambao ni wengi wanamuona kama muuza nchi

5. Japo sio fan wa jiwe ila jamaa kundi la maskini alilishika maskio

6. Last defense ya CCM ni Dola

Kazi iliyopo Chadema wanatakiwa wajikusanye na wajipange kiujumla Tu sa hv nchi inahang , watu wapo dilemma
 
Makamanda siku chama chetu kikirudi mikononi mwa wananchi wapenda haki na maendeleo basi mwaka 2025 tunakamata dola.

Ccm ni chama dhaifu na wakora na kwa sababu hiyo kwa huu utawala wa huyu mama wataharibu sana na kupoteza imani kwa wanachi. Maana watafanya ufisadi wa kufa mtu.

Hivyo ili tuchukue dola mwaka 2025 lazima Mbowe na matapeli wanaotuharibia chama kwq kufanya mali yao tuwaondoe.

Mwaka 2025 hii nchi ni yetu.

Mkuu si kweli kuwa mhofiwa #1 na chama mboga mboga kwa CDM ni huyo uliyemtaja?

Si kuwa pamoja na jitihada na uwekezaji mkubwa kuisambaratisha CDM katika vipindi vyote na hasa cha mwendazake kizingiti amekuwa huyo bwana?

Yapo mengi ya kuorodhesha yenye kuonyesha kuwa chama mboga mboga watafanya sherehe kuu wakifanikiwa kuisambaratisha huyo mwamba kwa namna yoyote.

Bahati mbaya zaidi ni kuwa CDM inafahamu kwa kumuweka huyo bwana madarakani chama mboga mna maumivu ya kufa mtu.

Hiiiiii bagosha!
 
Nilimuona kiongozi mmoja wa chama chetu anaitwa Mwaipaya alichangisha pesa kujenga ofisi huko Njombe lakini pesa zilipitia kwenye akaunti yake ya M pesa na Tigo pesa hii ni janjajanja.

John Pambalu alipochangisha pesa kumtoa lupango yule mwandishi vitabu vya kijasusi anayeitwa Yeriko alitumia akaunti yake binafsi ya M pesa na Tigo pesa na hata hakusema kiasi kilichozidi.

Hiii janjajanja ya kutafuna michango kupitia Chadema imezidi sana. Tuache mara moja.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom