Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,161
- 4,571
- Thread starter
- #61
Wengi wa wanachama wenzangu hamna akili.Kama jiwe alivyopiga 1.5 trillion
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wengi wa wanachama wenzangu hamna akili.Kama jiwe alivyopiga 1.5 trillion
Anzisha chama chako,Mbowe mwachie chadema ili imfie mikononi,Kama alivyofanya Zitto.Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.
Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.
Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.
Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.
Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
150 billion za ATCLWengi wa wanachama wenzangu hamna akili.
Huyo ni sukuma gang wachana nayeAnzisha chama chako,Mbowe mwachie chadema ili imfie mikononi,Kama alivyofanya Zitto.
Makamanda wengi hawana akili.150 billion za ATCL
Kwanza chai umeshakunywa?vipi una uhakika wa mlo wa mchana?je ikifika jioni pakulala papo?TUANZIE HAPO KWANZA,THEN TURUDI KWA MBOWE...Huyu mwenyekiti wetu anagenge la watu wasiokuwa na busara. Kazi yao kubwa ni kumtetea kwa kila jambo atakalofanya hata kama halina manufaa kwa chama chetu.
Mathalani alitafuna bil 8 za michango yetu lakini watu wanamtetea.
Alijigawia gari ya chama Ford ranger lakini watu wanamtetea.
Sasa hivi chama kina hali mbaya hakuna mtu anayemhoji wanampigia makofi tu.
Sisi makamanda wenye uchungu na chama tukiongea wanatutukama mitusi hii haifai kabisa.
1.5 trillionMakamanda wengi hawana akili.
Hua nasema kila siku humu.
Mbowe, Lipumba, Zitto wanadhooficha harakati za demokrasia nchi hii.
Haiwezekani chadema wasitengeneze succession plan ya mtu mwingine mwenye uwezo kumrithi Mbowe halafu wanataka tuwakabidhi nchi yetu, hivi si watabadili katiba watawale milele?
Zitto amejipa cheo cha juu ambacho hakipigiwi kura, eti kiongozi mkuu wa chama na mshauri mkuu wa chama. Hataki uchaguzi, hapo anataka uchaguzi huru kwenye nchi huku yeye hauonyeshi huo uhuru kwenye chama chake.
Wapinzani wa nchi hii ndio wanaua demokrasia. Demokrasia wanaiongea mdomoni lakini mioyoni mwao ni madikteta wakubwa, hawataki upinzani kwenye chama, hawataki uchaguzi kwenye vyama na hata wakifanya uchaguzi ni geresha tu ila wao wako pale pale.
Hivi wao demokrasia ni uchaguzi mkuu wao washinde ila kwenye vyama hakuna demokrasia?
Vyama vya siasa Tanzania ni family party, sio political party. Vinatumika kwa maslahi ya viongozi wake. Zitto anaitumia ACT kwa maslahi yake, Chadema Mbowe anaitumia kwa maslahi yake.
Nchi hii CCM majanga, upinzani vimeo.
Kamanda upo sawa.Makamanda siku chama chetu kikirudi mikononi mwa wananchi wapenda haki na maendeleo basi mwaka 2025 tunakamata dola.
Ccm ni chama dhaifu na wakora na kwa sababu hiyo kwa huu utawala wa huyu mama wataharibu sana na kupoteza imani kwa wanachi. Maana watafanya ufisadi wa kufa mtu.
Hivyo ili tuchukue dola mwaka 2025 lazima Mbowe na matapeli wanaotuharibia chama kwq kufanya mali yao tuwaondoe.
Mwaka 2025 hii nchi ni yetu.
Mimi ni msema kweli.Mkuu umemuandama Mafia Boss Mbowe
Makamanda siku chama chetu kikirudi mikononi mwa wananchi wapenda haki na maendeleo basi mwaka 2025 tunakamata dola.
Ccm ni chama dhaifu na wakora na kwa sababu hiyo kwa huu utawala wa huyu mama wataharibu sana na kupoteza imani kwa wanachi. Maana watafanya ufisadi wa kufa mtu.
Hivyo ili tuchukue dola mwaka 2025 lazima Mbowe na matapeli wanaotuharibia chama kwq kufanya mali yao tuwaondoe.
Mwaka 2025 hii nchi ni yetu.