Scofied
JF-Expert Member
- Jun 5, 2012
- 2,455
- 1,657
wakuu heshima kwenu.
Nini husababisha mwananke kupata hedhi mda mrefu bila kukata...shemeji yangu ana mwezi wa tatu sasa anatatizo hilo..anatumia dawa za homoni inakata dawa zikiisha tu inarudi tena,kapiga Utra sound kizazi hakina shida,kapima hormones kaambiawa zipo sawa...
Kuna mtu kasema inaweza kuwa kansa ya kizazi so lazima atolewe kizazi,je kuna ukweli hapo? naombeni ushaurii..
Nini husababisha mwananke kupata hedhi mda mrefu bila kukata...shemeji yangu ana mwezi wa tatu sasa anatatizo hilo..anatumia dawa za homoni inakata dawa zikiisha tu inarudi tena,kapiga Utra sound kizazi hakina shida,kapima hormones kaambiawa zipo sawa...
Kuna mtu kasema inaweza kuwa kansa ya kizazi so lazima atolewe kizazi,je kuna ukweli hapo? naombeni ushaurii..