Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

Una ngiri.Kuna dawa za hospitali na kienyeji za kukuwezesha kupata choo. Kwa hilo hiyo hata ukwaju inaweza kudunda. nenda pharmacy kauluzue dawa hii LACTULOSE SOLUTION USP LIVOLUK. Hii inatibu CONSTIPATION SIO NGIRI

Asante mkuu, hivi ugonjwa wa ngiri unatibika? Je kuna doctor ambaye ni mtaalamu wa ugonjwa huu nimtafute badala ya kuwa najaribu hapa na pale? Asante sana
 
watu wengi husingizia rafiki zao! hili ni tatizo kubwa tiba nzuri ni kula vyakula vyenye fibers kwa wingi kama wadau walivyosema hizi huwa hazinyonywi tumboni na kusababisha mzigo mkubwa ambao kwa ukubwa wake unachochea kusukumwa kwa kinyesi, pia unatakiwa unywe maji mengi especially yasiyo ya dukani maana nahisi mineral differences kati ya maji ya dukani na ya kuchemsha ina saidia kuongeza tatizo, halafu kama unataka kutumia dawa kwa muda mrefu nunua bulk laxatives and not stimulant laxative kwa sababu aina ya pili huchochea nerves and in a long run zinakuwa sugu na kushindwa kurespond bila dawa kusababisha something like uteja! mfano wa stimulant laxative ni vidonge vyenye senna kwa hiyo soma label kutofautisha
 
Dah.nimeamini ukwaju kiboko ndugu zangu'nilikua na tatizo lakukosa choo na nimefanya hivyo mlivyopost na nimejionea mwenyewe how it works.asanteni sana maana sijaingia gharama na dawa nimeipata'je ninaweza kurudia kusafisha tumbo kwa muda wa siku ngapi?na inatakiwa nifanye kila inapopita muda gani?
 
Kwa watu wazima ni tatizo kubwa sana...wanaishi kwa ukwaju tu kila baada ya siku 2 au 3!!!
 
Ni vizuri sana kwa hayo yote uliyoambiwa ila kama ukitaka kuondoa tatizo na kutorudia tena pamoja na kupata faida nyingine ikiwemo kutoa sumu mwilini, kuondoa uchovu na kuupa mwili nguvu, kuufanya mmeng'enyo wa chakula kuwa mzuri siku zote, kuondoa vile tumboni, kuondoa tatizo jingine kama lipo mfano vidonda vya tumbo, pressure tuwasilaine kwa email: healthwealthfirst@gmail.com
 
rejea maelezo hapo juu,choo kimekuwa kigumu na kinatoka kwa maumivu mno,hatua kadhaa zimechukuliwa bila mafanikio,hatua zilizochukuliwa kunywa maji mengi,kutumia mapapai,juisi ya ukwaju.........nasubiri ushauri wa kitaalamu.........................natanguliza shukrani
 
Pole sana Gilo24. Hatua ulizochukua ni muhimu sana ambazo kwa haraka mtu yeyote angeweza kukushauri. Vipi lakini ulishawahi kuonana na Doctor? Kama hujawahi basi ingekuwa muhimu pia kufanya hivyo. Kwa upande mwingine kama utahitaji msaada zaidi ninayo juice nzuri sana ya kiasili isiyokuwa na madhara katika mwili badala yake ni muhimu sana katika kuondoa shida mbalimbali ikiwepo ya kuondoa kuvimbiwa, tumbo kujaa gas, mmeng'enyo wa chakula kutokwenda vema, vimbe tumboni na mengieyo mengi. unaweza kunitafuta kwa email healthwealthfirst@gmail.com pia namba 0713889162
 
thank u kwa ushauri huo,ina content zp hyo juice?maana nimeshauriwa kutumia juice ya ukwaju bila mafanikio,kuhusu kwenda hospital,walichosena lke kufanya upasuaji mdogo..........
 
ia usipendee kula mayai ya aina yeyote, ni mabaya sana kwa choo kigumu, inazidi, halafu usile ukwau nadhani unazidisha choo kigumu, kula sana matunda hasa MACHUNGWA, ni source nzuri sana ya kupata choo, matembele au kwa kifupi mboga za majai zenye nyuzi nyuzi kama matembele, mchicha ,. pole sana.
 
rejea maelezo hapo juu,choo kimekuwa kigumu na kinatoka kwa maumivu mno,hatua kadhaa zimechukuliwa bila mafanikio,hatua zilizochukuliwa kunywa maji mengi,kutumia mapapai,juisi ya ukwaju.........nasubiri ushauri wa kitaalamu.........................natanguliza shukrani

Pole sana: fanya hivi, either usiku au mchana japo usiku ni bora zaidi kama utaweza kula matunda mchanganyiko yaani mpaka ushibe (usile tunda la aina moj), papi na tango Ndo the best kwa kulainisha njoo, kataka pia changanya na vinegar then kula. Utashangaa matokeo...nusu Saa nyingi. Pia hakikisha kila ukila nyama unakula na veges.
 
Kama unakunywaga pombe take 4/5 bottles of castle lager, utaona ulaini wake mie bnafsi huwa nafanya hvyo
 
jenga tabia ya kunywa maji meng na kula matunda mchanganyiko..!kula kwa wing mapapai,maembe na maganda yake pia kunywa juice ya maparachichi utapata choo laiiiiiin....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom