Elongo Junior
Member
- Apr 21, 2018
- 55
- 29
Ndo hizo mkuu, zinazotumika hospitaliGloves hizi za mikononi au?!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo hizo mkuu, zinazotumika hospitaliGloves hizi za mikononi au?!
Gloves za nini tena mkuu?Nimetumia gloves ndugu.. Asante kwa ushauri
Ulidhania katumia gloves za gym nini mkuu? ha ha haGloves hizi za mikononi au?!
Nenda kwa mama yoyo akupe dawa ya kuzibua ila ukianza kuharisha kupitisha kiasi usilalamike tena. Hilo la kujitia madole mwanangu, unatafuta mengine ambayo mwisho wa siku utaishia kuwa shogaNdugu zangu mwenye kujua namna au dawa ya kukitoa kinyesi. Sitanii hii hali imenitokea leo ni siku ya pili kila nikienda kujisaidia (kunya) nashindwa nimetumia kidole lakini imeshindkana, mpaka damu inatoka. Wataalamu NAOMBA nisaidieni NATESEKA
Mmh madame..abaki na ma.vi siku tatu zingine?Kesho tafuta juice ya ukwaju kunywa, kula mapapai ya kutosha, Kula nazi na maji yake au madafu na maji yake. Fanya hivi siku tatu mfululizo then ulete mrejesho.
Baada ya hapo matunda yawe lazima kwenye mlo.
1. https://www.webmd.com/drugs/2/drug-278/castor-oil-oral/detailsNdugu zangu mwenye kujua namna au dawa ya kukitoa kinyesi. Sitanii hii hali imenitokea leo ni siku ya pili kila nikienda kujisaidia (kunya) nashindwa nimetumia kidole lakini imeshindkana, mpaka damu inatoka. Wataalamu NAOMBA nisaidieni NATESEKA
AminaKila mlo shushia kwa papai /parachichi... usije kunishukuru bali msifu na kumhimidi Mola wako
Nashukuru mkuu, ushauri ulionipa naufanyia kazi. AsanteMkuu kwanza pole sana kwa tatizo hilo. Ila ukweli ni kwamba watu wengi sana wanatatizo hilo ila wanaona aibu kusema wazi kama mimi na wewe tulivyothubutu.
Nakushauri kanunue "Castor Oil" duka la dawa na kwa hali uliyonayo, piga hata vijiko vitatu vya chakula. Baadae kaa tulia home. Itakuchukua robo saa au nusu saa. Tumbo litavuruga na choo kilichokwama kitalainika ili kipite vizuri.
Ukifanikiwa kupata choo, nunua Potassium Pamanganize duka la dawa then utakua utakua unachanganya na maji kwenye beseni the unakalia hata kwa dakia 20 asubuhi na jioni ili kuponesha vidonda kwenye njia ya haja kubwa.
Pia ukipata choo, kumbuka kutumia hiyo Castor oil kijiko kimoja unapolala usiku ili asubuhi kabla hujaanza mishe zako unapata choo chako vizuri then unaingia mtaani.
Mimi pia ni Muhanga wa hiyo kitu lakini haya mafuta yamenisaidia pakubwa.
Ila Maji mengi kuyanywa usisahau. Angalau lita mbili kwa siku.
Hiyo Castro oil ni nomaNunua Castro oil unywe dakika tuuu umeanda toi na kulibwaga utahara mpaka uombe poo
Ndugu zangu mwenye kujua namna au dawa ya kukitoa kinyesi. Sitanii hii hali imenitokea leo ni siku ya pili kila nikienda kujisaidia (kunya) nashindwa nimetumia kidole lakini imeshindkana, mpaka damu inatoka. Wataalamu NAOMBA nisaidieni NATESEKA
Kutumia nakupaka ni tofauti kweli unaumwa ndgNisaidie ndugu yangu. Nitumie kilainishi kipi
DOOO HAYO KASTRO OIL MKUU YANA LADHA MBAYA INAYOKIFU VIBAYA SANA. SIO CHUNGU BT NI MBAYA KUNA SIKU NUSU NITAPIKE.Mkuu kwanza pole sana kwa tatizo hilo. Ila ukweli ni kwamba watu wengi sana wanatatizo hilo ila wanaona aibu kusema wazi kama mimi na wewe tulivyothubutu.
Nakushauri kanunue "Castor Oil" duka la dawa na kwa hali uliyonayo, piga hata vijiko vitatu vya chakula. Baadae kaa tulia home. Itakuchukua robo saa au nusu saa. Tumbo litavuruga na choo kilichokwama kitalainika ili kipite vizuri.
Ukifanikiwa kupata choo, nunua Potassium Pamanganize duka la dawa then utakua utakua unachanganya na maji kwenye beseni the unakalia hata kwa dakia 20 asubuhi na jioni ili kuponesha vidonda kwenye njia ya haja kubwa.
Pia ukipata choo, kumbuka kutumia hiyo Castor oil kijiko kimoja unapolala usiku ili asubuhi kabla hujaanza mishe zako unapata choo chako vizuri then unaingia mtaani.
Mimi pia ni Muhanga wa hiyo kitu lakini haya mafuta yamenisaidia pakubwa.
Ila Maji mengi kuyanywa usisahau. Angalau lita mbili kwa siku.