Rabonn
JF-Expert Member
- Nov 7, 2018
- 5,733
- 10,926
Ahahahahahahahah..Asante Dk Kwa ushauri! Je bia je ?atumie za gan!?_🤦
Hizo atumie za choice yake.
Ahahahahahahahah..Asante Dk Kwa ushauri! Je bia je ?atumie za gan!?_🤦
🙏🙏🙏Dk!Ahahahahahahahah..
Hizo atumie za choice yake.
Kama utatumia ukwaju+ ubuyu.Nimetoka kununua huu ubuyu + ukwaju nataka nitengeneze juice yake, ntaleta mrejesho ahsantee
Ila jitahidi sana, wala hii si utani. Na vidawa vyenyewe dozi wanauza buku au 1500 sasa mtu akiona ya ulaya 5000 anadharau hii. Mimi zamani ndo nilikuwa mhanga wa hii mpaka nilipookoka kutoka kwenye huo ushamba.Minyoo ya ulaya ,unamaanisha ya kwetu bongo ni sugu ?inabidi ipate dawa heavy, inawezekana nimesahau jina lake, after 3 months ntatumia hiyo "Ketrax" mkuu ,thank youu
Ntajitahidi aisee ,thank youIla jitahidi sana, wala hii si utani. Na vidawa vyenyewe dozi wanauza buku au 1500 sasa mtu akiona ya ulaya 5000 anadharau hii. Mimi zamani ndo nilikuwa mhanga wa hii mpaka nilipookoka kutoka kwenye huo ushamba.
Mrejesho wangu kwenye hili :
Samahani dadangu,nlikuwa nje kwa mda sijuweza kukupa ile dawa,nitakucheki nkiwa free!Mkuu Nyambo, popote ulipo Kwa Dar naweza kukufata as long as nipate dawa, mi nipo Magomenii
Nenda kwenye Duka za dawa za asili maduka mengi yanapatikana msikitini.ukifika agiza abalt mulk tumia punje tatu tuu.na usiende kazini ck hiyo