Hili Tatizo la kukosa uzalendo katika nchi hii bado linatafuna Taifa siyo kwa watumishi wa umma tuu hata wa sekta binafsi.
Nampongeza PM kwakuingilia kati issue ya Wizara ya Fedha .Nafkiri Elimu ya uzalendo ianzie kufundishwa primary school mpaka vyuo vikuu...sprit ya kizalendo huenda ikawaingia vijana wetu la sivyo Tutajenga Taifa la ajabu mno siku zijazo ..
Nampongeza PM kwakuingilia kati issue ya Wizara ya Fedha .Nafkiri Elimu ya uzalendo ianzie kufundishwa primary school mpaka vyuo vikuu...sprit ya kizalendo huenda ikawaingia vijana wetu la sivyo Tutajenga Taifa la ajabu mno siku zijazo ..