Hujalala tu? Kumbe tatizo letu moja.Ww lipa madeni utalala tuu
Hujalala tu? Kumbe tatizo letu moja
Anyways madeni sio shida, sema stress ndogo ndogo
Thanks man!Hiyo inaitwa ''Insomnia'' inasababishwa na kuwa na mawazo sana, stress, kunywa maji mengi kabla ya kulala au utumiaji wa kahawa kwa baadhi ya watu
Jitahidi kuuchosha mwili kiasi kwa mazoezi ya viungo kabla ya kulala, na kuavoid hivyo visababishi hapo juu...
Duh, kweli hili tatizo, ila naona kufanya mazoezi ya viungo ni njia rahisi na effective piaTunafanana tatizo yani nalala masaa chini ya manne leo nimelala saa nne kufika saa nane nimeshtuka na nimekosa usingizi kabisa mpka muda
Seriously au unataniaPiga nyeto, huchukui round
Diazepam ndio dawa?Diazepam Vidongeee...!! Utalala mpaka ufurahi sema tatizo inaleta addiction yani haiponeshi sema inakufanya ulale tu na mwili ukizoea hiyo hali ndo utakuwa hulali kabisa bila kunywa dawa so cha muhimu nenda hospital upate matibabu ya Kisaikolojia yanayokufanya usipate usingizi eithee upewe dawa za Depression ambazo hutibu hali ya msongo wa mawazo lakini pia hufanya ulale zinaitwa AMITRYPTILINE. Pole sanaa...
Yes ndio dawaa...!!Diazepam ndio dawa?
Serious kama huamini jaribu. Nimetumia sana hiyo mbinu na ime work outSeriously au unatania
Ok thanksYes ndio dawaa...!!
Iyo kwel mkuuSeriously au unatania
>1: Kwanza kabisa utamuona mtu huyu akiangaika akiwa kitandani alafu ubadilisha mitindo ya kulala mala kwa mala ili kutafuta usingizi.
> 2: Malanyingi mtu huyu ikitokea ameamka usiku na kukatisha usingizi basi hishindwa kupata tena usingizi basi ikitokea hivyo hujikuta anaamka asubuhi sana.
> 3: Pia watu wenye tatizo hili huwa wanashindwa kuwekea umakini katika shuhuri mbalimbali wanazofanya kama vile kazini au wanapojisomea pia wakati mwingine hata wanapokuwa wanaendesha usafiri hivyo huchangi pakubwa katika kusababisha ajari za barabarani, watu hawa pia mala kwa mala hupatwa na tatizo la kupoteza kumbukumbu
>4: Dalili nyingine ni kwamba wata hawa huwa na tabia ya kusinzia wakati wa mchana pia huwa ni wenye hasila, msongo wa mawazo na hata kuwa ni watu wenye hofu.
>5: Watu wenye tatizo hili pia hukosa nguvu malanyingi huwa ni watu wenye kuhisi kichoka hasa wakati wa mchana pia huwa ni wenye kushindwa kufikilia mambo kwa kina.
>1: Matatizo ya upumuaji ambayo hasa hutoke usiku wakati wa kulala ambayo malanyingi husababishwa na mambo mbalimbali kama vile maladhi yanayofahamika kama (UPPER AIRWAYS RESISTANCE SYNDROME) ambamo humo ndani yake yapo maradhi yanayopelekea tundu za upumuaji kupungua na kuwa nyembamba zaidi hivyo kupelekea mtu kushindwa kupumua vizuri na kupelekea kukosa usingizi .
>2: Matumizi ya dawa mbalimbali zikiwemo mirungi, caffeine, nikotini, cocaine na hata urevi wa pombe husababisha mtu kuwa macho kwa mda mrefu hivyo humfanya ashindwe kulala.
>3.Pia zipo dawa ambazo hutumika kutuliza maumivu ya mwili mfano dawa dawa zilizopo katika kundi la opioid ambapo mtu akiwa anazitumia kwa mda mrefu au labda alikua anatumia kisha akasitisha kutumia dawa hizo humletea pia tatizo la kukosa husingizi.
>4:Wakati mwingine mtu anakuwa amesitisha matumizi yake ya dawa za kutuliza msongo wa mawazo au dawa za kupata usingizi mfano Benzodiazepine humfanya mtu huyu kurudia tena katika hari yake ya kukosa usingizi.
>4: Kwa watu wenye maradhi ya moyo yakiwemo shinikizo la juu la damu na angina nao wapo katika shida hii
>5: Kunda ugonjwa unaitwa "miguu kuwaka moto" kitaalamu hufahamika kama Restless Legs Syndrome, malanyingi watu wenye tatizo hili huisi kama wanachomwa na vitu vyenye ncha kali katika sehemu za miguu hasa wakati wa usiku hivyo huwapelekea kukosa usingizi kabisa
>6: Hata maumivu ya aina yeyote ile labda ni maumivu ya kichwa, tumbo, mgongo au majeraha hasa wakati wa usiku huwa yanasumbua kwakweli humfanya mtu awe macho usiku kucha.
>7: Sababu nyinginezo ni kama mtindo wa maisha kama vile matizo ya uzazi kutokuwa na tabia ya kufanya mazoezi na mahusiano.