Kweli kabisaKapime vidonda vya tumbo
Nunua Bicarbonate of soda (Sodium Bicarbonate) inauzwa 600 chukua kijiko kimoja cha chakula weka kwenye glas kisha unywe. Ukifanya x 3 kwa siku natumaini utapona within 1 day.Ngoja nigoogle kwanza nione dalili zake kama zinafanana na nilizonazo
Nope, maduka ya kawaida tu. Inatumika kupika keki, juu imeandikwa simba..Inauzwa maduka ya madawa?
Mfumo upi?,wa umeme au??.Tatizo mfumo
VvtiMfumo upi?,wa umeme au??.
Ndo unafanyaje sasa?Mlonge
Majani yake unatafuna au unachemsha.Ndo unafanyaje sasa?
Vidonda vya tumbo kapimee tena kwa bloodpictureNimekuwa na tatizo la kutohisi njaa na kujisikia kushiba, nikila chakula kidogo tu naacha. Pia tumbo linaunguruma sana nikienda chooni kinyesi ni kidogo na kutoa gas.
Wataalamu, nini ni tatizo.
Inatibu nini mkuu da VinciNunua Bicarbonate of soda (Sodium Bicarbonate) inauzwa 600 chukua kijiko kimoja cha chakula weka kwenye glas kisha unywe. Ukifanya x 3 kwa siku natumaini utapona within 1 day.
Bicarbonate of soda ni base in nature,Inatibu nini mkuu da Vinci
Google ni GIGO. Nenda hosptaliniNgoja nigoogle kwanza nione dalili zake kama zinafanana na nilizonazo