mkombengwa
JF-Expert Member
- Dec 4, 2011
- 3,178
- 3,437
Anaweka tu katka glass na kuanza kunywa au anachanganya na majiNunua Bicarbonate of soda (Sodium Bicarbonate) inauzwa 600 chukua kijiko kimoja cha chakula weka kwenye glas kisha unywe. Ukifanya x 3 kwa siku natumaini utapona within 1 day.