​Nimefuatilia uhusiano wa Tangazo lilitolewa na idara ya Hali ya hewa kuhusu uwezekano wa Kutokea Elnino Mwaka huu na yale matangazo na utekelezaji wa TANESCO wa kukata umeme uliyofuata punde baada ya tangazo hilo.
Ukitazama kwa kina kuna uwezekano mkubwa kuwa Elnino hiy haitakuwepo, ila lile tangazo lilikuwa limepikwa ili kuhalalisha ukataji umeme. kwani wote tunajua msimu huu kwa kawada kina cha maji kwenye mabwawa yetu huwa kipo chini sana kukidhi uzalishaji unaotakiwa.
Ukizingatia Serikali kupitia waziri mwenye dhamana alishasema mgawo wa umeme sasa ni historia baada ya kufunga mitambo ya kutumia Gesi ya ubungo imekuwa ni vigumu kurudi kwa wanachi na kauli Tofauti. NAOMBA KUWASILISHA mtazamo wangu.
Ukitazama kwa kina kuna uwezekano mkubwa kuwa Elnino hiy haitakuwepo, ila lile tangazo lilikuwa limepikwa ili kuhalalisha ukataji umeme. kwani wote tunajua msimu huu kwa kawada kina cha maji kwenye mabwawa yetu huwa kipo chini sana kukidhi uzalishaji unaotakiwa.
Ukizingatia Serikali kupitia waziri mwenye dhamana alishasema mgawo wa umeme sasa ni historia baada ya kufunga mitambo ya kutumia Gesi ya ubungo imekuwa ni vigumu kurudi kwa wanachi na kauli Tofauti. NAOMBA KUWASILISHA mtazamo wangu.