DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 17,765
- 44,795
Daah pole sanaa.. kunaa mfanya kazi mwenzangu ana 24 years bado kikojoziWakuu ...Naomba msaada wa Tiba ya mtoto anayejikojelea kitandani kila siku.
mtoto wa miaka 10
asanteni.
KE/ME??Daah pole sanaa.. kunaa mfanya kazi mwenzangu ana 24 years bado kikojozi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu MPUNGUZIE vinywaji vya VIMIMINIKA mfano maji,,soda ,,juice,NK...na mtoe KUKOJOWA USIKU MARA KWA MARA,,,,,EPUKA USHAURI wa waganga wa KIENYEJI,,,,yupo NDUGU YNGU tena MTU mzima kabisa alikuwa na tatizo kama hilo,,YALIMKUTA MAKUBWA,,,zaidi ya KUKOJOWA,,,KITANDANI....Wakuu ...Naomba msaada wa Tiba ya mtoto anayejikojelea kitandani kila siku.
mtoto wa miaka 10
asanteni.
noma hiyo, wa kike wakiume?Daah pole sanaa.. kunaa mfanya kazi mwenzangu ana 24 years bado kikojozi
Sent using Jamii Forums mobile app
hongera mwayaaNilikuwa nakojoa kitandani mpaka nikiwa darasa la 5, ikaja kuacha yenyewe.
Sasa hivi sijikojolei...hadi nikojozwe
Tafuta kwenye famasi dawa inaitwa imipramine au Amitriptylinne umpe usiku kabla ya kulala...Wakuu ...Naomba msaada wa Tiba ya mtoto anayejikojelea kitandani kila siku.
mtoto wa miaka 10
asanteni.
Hiyo dawa ya kienyeji ndio dawa nilipo kua primary kunawanafunzi walikua wanaongelea na kutoa ushahidi wamepona.Chukua maindi makavu na siyo ndevu za maindi chemsha Lita moja ya maji kwa maindi kikombe cha chai,yakitokota epua yaache ya kwa siku moja.Uanze kumpa kikombe kimoja kila siku asubui kwa muda wa Siku tatu adi nne.Tafuta kwenye famasi dawa inaitwa imipramine au Amitriptylinne umpe usiku kabla ya kulala...
Kienyeji wanasema "eti"....ukimpa maji yaliyopatikana kwa kuchemsha ndevu za mahindi atapona
Naomba nikukojoze basi mamyNilikuwa nakojoa kitandani mpaka nikiwa darasa la 5, ikaja kuacha yenyewe.
Sasa hivi sijikojolei...hadi nikojozwe
Tafuta kwenye famasi dawa inaitwa imipramine au Amitriptylinne umpe usiku kabla ya kulala...
Kienyeji wanasema "eti"....ukimpa maji yaliyopatikana kwa kuchemsha ndevu za mahindi atapona