Tatizo la kuchukia watu bila sababu

princess ariana

JF-Expert Member
Aug 19, 2016
7,482
14,211
Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu, ilihali hajawahi hata kukusemesha, hana tabia mbaya yaani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...

Au unakuwa na rafiki kipenzi kabisa, lakini ghafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka, ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu yaani unatokea kumchukia tu.

Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?

Wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
 
Haiwezekani Kumchukia Mtu bila sababu......................Jitafakari vizuri utajua kwa nini Unachukia....................!!!! Kuna mwenzio alisema hivyo hivyo, alipobanwa zaidi akafunguka ya kuwa anamchukia kwa vile ile Midomo yake eti imebinuka kwa hiyo anahisi kama vile ANAJIDAI................ndiyo maana yeye anamchukia.....................!!!
 
Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu ,ilihali hajawahi hata kukusemesha,hana tabia mbaya yani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...

Au unakua na rafiki kipenzi kabisa, lakini gafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka ,ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu
yani unatokea kumchukia tu....

Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?

wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
Hukikosa Hela hasira zinakuja Zenyewe... Ishitakie Nafsi yako kwa Muumba
 
Ni ngumu sana kumchukia mtu bila ya sababu, lazima huenda kuna sababu ambayo inakuwa ngumu kuitambua.

Labda sura yake au sauti yake au muonekano wake au uvaaji wake unakukumbusha kitu kibaya hapo nyuma.

Mfano, kuna mtu alikufanyia ukatili hapo nyuma kisha baadae unakutana na mtu mwingine tofauti kabisa, lakini kuongea kwake au muonekano kunafania na yule aliyekufanyia kitu kibaya hapo nyuma. Hivyo inakukumbusha juu yake na hivyo unaanza kumchukia bila sababu.

Au kuna wengine wale wenye nguvu za ziada, kwa kumtazama mtu tu, anatambua kuwa huyu mtu ni mbaya hata kama hajawahi kumtenda au hata kuzungumza naye. Hivyo anajikuta anamchukia tu bila sababu za Msingi.

Jichunguze vema, lazima kuna sababu inayokufanyia umchukie.
 
maranyingi huwa kunakitu kinafanya umchukie mfano, yawezekana kuvaa kwake, au life style yake, au kunakitu ulisikia au kuona kwake ambacho kikaingia ndani ya kichwa chako then unakuta we hupendi kitu ka hicho so huwa kunavitu vidogo vidogo ambavyo hutokea sema huvigundui kisa hujaamua kufuatilia kwa kina tatizo ni nini
 
Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu ,ilihali hajawahi hata kukusemesha,hana tabia mbaya yani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...

Au unakua na rafiki kipenzi kabisa, lakini gafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka ,ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu
yani unatokea kumchukia tu....

Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?

wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
Ipo namna flani kiimani,unahitajika kufanyiwa maombi,yawezekana una majinubi,au una roho ya chuki ambayo umerithi kutoka kwenye ukoo wenu,jaribu pia kufuatilia ndani ya ukoo wenu kama kuna mtu mwenye tabia kama hizo,ila kwa yote hayo kwa Yesu hayana nafasi..
 
Inaitwa INFERIORITY COMPLEXION. Una shida ya kupenda kujilinganisha na watu unaokutana nao kwa uzuri, mali na hata social acceptance. Unafanya haya bila kujijua na pale unapoona mtu huyo amekuzidi kwenye hilo unalojilinganisha naye na hakuna unaloweza kufanya, unamjengea chuki.

Believe me, huwachukii bila sababu.
 
Habari WanaJf
Jamani nauliza, kwa waliowahi kufikwa na adha hii au wanaofahamu; unaweza kukutana na mtu labda anaishi mitaa yenu ukamchukia bila sababu, ilihali hajawahi hata kukusemesha, hana tabia mbaya yaani ndo kwanza umemuona na hakuna sababu ya kumchukia lakini automaticaly unajikuta humpendi tu...

Au unakuwa na rafiki kipenzi kabisa, lakini ghafla tu unamchukia bila sababu, anaweza kupiga simu usipokee, akikuuliza tatizo huna jibu la kueleweka, ukimwona hutaki hata kukaa nae karibu yaani unatokea kumchukia tu.

Waungwana hii inatokana na nini? kuna namna fulani kiimani au?

Wajuzi mnaofahamu hali hii nifahamisheni
Hilo tatizo limeanza awaimu hii ya anko magu? ama lilianza awamu zilizopita?
 
Hii pia huwa inasababishwa na mambo ya kiroho, unapaswa luwa MTU wa MAOMBI na kusali ukikemea hiyo hali na itaisha hats Mimi nilikuwa hvyo
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom