Tatizo la kasi kwenye Huawei Y300, naomba msaada

MR. DRY

JF-Expert Member
Oct 5, 2011
637
122
Simu inakuwa nzito katika kuaccess mambo mbalimbali

Msaada wa kufuta apps ambazo siziitaji.

Ahsante
 
Kuhusu simu kuwa slow tafuta apps za task killing kama Clean master, halafu ku-uninstall inbuilt apps fanya rooting kwanza ndio utaweza kuziondoa,ila unaweza zi-disable pia kwenye app management,hazitarun na icon zake hazitaonekana kwenye homescreen.
 
Simu inakuwa nzito katika kuaccess mambo mbalimbali

Msaada wa kufuta apps ambazo siziitaji.

Ahsante
  • Pamoja na mapendekezo mazuri ya ndugu Hong25 hapo juu
  • Pia badili default storage
Tap SETTINGS,
Tap STORAGE,
Tap DEFAULT STORAGE LOCATION - Hapo chagua SD CARD
f0Dy8n
 
Last edited by a moderator:
Ram hii ram ndo inaonekana imebaki hivi,halafu na hizi cache hazisababishi kuleta shida
 

Attachments

  • 1401033497192.jpg
    1401033497192.jpg
    52.7 KB · Views: 307
  • Pamoja na mapendekezo mazuri ya ndugu Hong25 hapo juu
  • Pia badili default storage
Tap SETTINGS,
Tap STORAGE,
Tap DEFAULT STORAGE LOCATION - Hapo chagua SD CARD
f0Dy8n

Ahsante sana ndo nimeweka sasa hivi
 
Last edited by a moderator:
Kuhusu simu kuwa slow tafuta apps za task killing kama Clean master, halafu ku-uninstall inbuilt apps fanya rooting kwanza ndio utaweza kuziondoa,ila unaweza zi-disable pia kwenye app management,hazitarun na icon zake hazitaonekana kwenye homescreen.

Nashukuru sana,lakini nimedisable na zingine nimeforce stop but nakuwa naziona kama ya chrome,playmagazine na nyingine.
Je hiyo apps ya killing ndo jina lake au?
Naomba njia ya kuroot ili niwefanye.
Je madhara ya kuroot napoteza baadhi ya vitu muhimu?
 
Nashukuru sana,lakini nimedisable na zingine nimeforce stop but nakuwa naziona kama ya chrome,playmagazine na nyingine.
Je hiyo apps ya killing ndo jina lake au?
Naomba njia ya kuroot ili niwefanye.
Je madhara ya kuroot napoteza baadhi ya vitu muhimu?
 
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300
 
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300

we upo wap usiseme arusha nzima au ni pm
 
msaada yangu ilijizima ghafla nikiiwasha inaishia kuweka mwanga wa kijani na logo ya T nimepeleka kwa mafundi kuflash inaoshia njian inagoma
 
ndugu zangu naomba tusaidiane mimi elimu yangu ni ndogo kuhusu mambo ya cm nimesoma hizo thread hapo juu lakini kusema kweli nimeahindwa hata pa kuanzia hivyo nawaomba ndugu zangu wenye mioyo ya kutoa msaada mnielekeze japo kwa undani zaid au tuonane mi naishi dar ili nipate kufaham namna ya kuroot cm yangu ya huawei y300 natanguliza shukrani zangu za dhati!
 
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300

Unlock bootloader kisha, weka Super User.. Utakuwa ndiyo umefanya rooting.
Na utaweza kuinstall Custom ROMs ambazo zinakuwa na performance angalau nzuri kidogo
 
Leo nimefanikiwa kuroot cm yangu pongez kwenu wakuu ila tatizo lipo kwenye kuweka custom rom naomba nipate elimu tena,natanguliza shukrani za dhat!
 
Kufanya hiyo unlockbootloader ndo sijui nayo mr.dream chaser
 
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300[/QUOT


Stand kubwa pale kuna fundi mzuri sana ila jina lake siijui vizuri ila anakaa kule ndani kwenye hii row ya AQ hotel kwa juu
 
Nashkur kiongoz cc12 ntajaribu kumtafuta huyo kwenye ghorofa kabisa etie
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom