Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simu inakuwa nzito katika kuaccess mambo mbalimbali
Msaada wa kufuta apps ambazo siziitaji.
Ahsante
Kuhusu simu kuwa slow tafuta apps za task killing kama Clean master, halafu ku-uninstall inbuilt apps fanya rooting kwanza ndio utaweza kuziondoa,ila unaweza zi-disable pia kwenye app management,hazitarun na icon zake hazitaonekana kwenye homescreen.
Nashukuru sana,lakini nimedisable na zingine nimeforce stop but nakuwa naziona kama ya chrome,playmagazine na nyingine.
Je hiyo apps ya killing ndo jina lake au?
Naomba njia ya kuroot ili niwefanye.
Je madhara ya kuroot napoteza baadhi ya vitu muhimu?
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300
nipatie IMEI number yake.msaada yangu ilijizima ghafla nikiiwasha inaishia kuweka mwanga wa kijani na logo ya T nimepeleka kwa mafundi kuflash inaoshia njian inagoma
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300
Arusha nzima nimezunguka hakuna aliyeweza kunifanyia rooting yani kila nnaemwambia kwake ni geni sasa sjajua mwenye kuweza plz maana maelekezo ya kufanya root kwenye cm hii nimeyaona na ni mepesi tuu tatizo linakuja kwenye msaada wa pc mm sina pc ku connect na kufanya kazi hiyo apa arusha kazi hiyo ni kubwa jamen yan nimechokaje msaada plz kama kuna uwezekano kulingana na maelezo hayo sasa sjui kama nimeeleweka ama la!cm yngu mm ni huawei y300[/QUOT
Stand kubwa pale kuna fundi mzuri sana ila jina lake siijui vizuri ila anakaa kule ndani kwenye hii row ya AQ hotel kwa juu