ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,543
Dakika ya pili tu ya pambano tumepoteza nafasi! ..na zikafuata chance nyingi za wazi tukashindwa kuzitumia...
Kwangu mimi nawapongeza stars kwa mchezo mzuri waliojaribu kutuonyesha lakini wamekua na shida hiyo moja kubwa ya jinsi gani ya kutumbukiza mpira wavuni...
Hizi kosa kosa hazikuanza mechi ya leo..hata game ambazo tulishinda..unakuta kumbe tungeweza shinda goli nyingi zaidi...
Mfano mzuri mwingine kuwa tuna shida hiyo niliuona juzi kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na Mlandege ya Zanzibar....Mchezaji Makambo alipata nafasi nzuri akaitumia vema kirahisi akafunga.....muda baadae mchezaji Kaseke akapata nafasi kama ile ya makambo akiwa analitazama goli.jirani kabisa..tena ndhani hata kipa alishapotea hakuwepo golini...kaseke akapaisha le mpira kwa kimo cha mnazi.....pale pale nikzidi kujifunza kitukuwa tuna shida kama nchi.
Yaliyotokea leo niliyahisi lakini nikashangaa wa tz wengi wakawa na imani kuwa tunashinda
Ifikie wakati sasa kutengeneza timu yetu hasa kuimarisha idara ya ushambuliaji/jinsi ya kufunga/mafunzo mengi ya saikolojia vitendo na nadharia.na mwsho tuendelee kutengeneza vipaji/vizazi vipya vya baadae.
Kwangu mimi nawapongeza stars kwa mchezo mzuri waliojaribu kutuonyesha lakini wamekua na shida hiyo moja kubwa ya jinsi gani ya kutumbukiza mpira wavuni...
Hizi kosa kosa hazikuanza mechi ya leo..hata game ambazo tulishinda..unakuta kumbe tungeweza shinda goli nyingi zaidi...
Mfano mzuri mwingine kuwa tuna shida hiyo niliuona juzi kwenye mchezo wa kirafiki kati ya Yanga na Mlandege ya Zanzibar....Mchezaji Makambo alipata nafasi nzuri akaitumia vema kirahisi akafunga.....muda baadae mchezaji Kaseke akapata nafasi kama ile ya makambo akiwa analitazama goli.jirani kabisa..tena ndhani hata kipa alishapotea hakuwepo golini...kaseke akapaisha le mpira kwa kimo cha mnazi.....pale pale nikzidi kujifunza kitukuwa tuna shida kama nchi.
Yaliyotokea leo niliyahisi lakini nikashangaa wa tz wengi wakawa na imani kuwa tunashinda
Ifikie wakati sasa kutengeneza timu yetu hasa kuimarisha idara ya ushambuliaji/jinsi ya kufunga/mafunzo mengi ya saikolojia vitendo na nadharia.na mwsho tuendelee kutengeneza vipaji/vizazi vipya vya baadae.