Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,008
- 16,134
Kama inavyojieleza. Nimekumbana na hili tatizo kwenye hii aina ya simu ambapoa... Internal memory inapungua tu hata kama hauja download kitu baada ya muda unaona interna memory imepungua mb 5-10.