funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,036
Nilijenga nyumba ya shambani maeneo ya Mkuranga ambayo nikiwa naenda kufanya kilimo nafikia pale. Tatizo limetokea nilipoweka madirisha ya alluminium yalikuja na zile tapes za kuzuia yasichunike ambazo zina nembo ya kampuni iliyotengeneza.
Nilipoyaweka fundi alishauri tusiyabandue mpaka siku ya kupiga rangi ndipo yatolewe ili rangi isiingie kwenye frames za aluminium.
Ilipita karibu mwaka sijapiga rangi ile nyumba na nilipokuja kupiga yale ma-tapes yaka yameshapigwa na jua na kushikana na frames za dirisha. Nimejaribu kuyatoa nimeshindwa.
Kama kuna mdau alishawahi kukutana na tatizo kama hili alitumia njia gani kuyaondoa?
Funza
Nilipoyaweka fundi alishauri tusiyabandue mpaka siku ya kupiga rangi ndipo yatolewe ili rangi isiingie kwenye frames za aluminium.
Ilipita karibu mwaka sijapiga rangi ile nyumba na nilipokuja kupiga yale ma-tapes yaka yameshapigwa na jua na kushikana na frames za dirisha. Nimejaribu kuyatoa nimeshindwa.
Kama kuna mdau alishawahi kukutana na tatizo kama hili alitumia njia gani kuyaondoa?
Funza