Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

Habari Leo wadau naomba msaada as wadau kuhusu ugonjwa kisukari.nimeangaika kila kona nimekunywakaribu dawa nyingi na nimetumia hela nyingi sana mpk sasa nimekata tamaa naona nasubiri tu kudra za mungu manake hela tena sina sukari ipo juu kushuka ni mpk dawaza hospital inashuka kidogo tu.naomba msaada jamani sukari inanitesa nimeisha nimebaki skeleton
KAMA UNAAMNI, tafuta sehemu ambapo pana Mungu wa kweli kaombewe. Nimejionea mwenyewe mahali watu wakipona kisukari, hiv, tb nk. Hakuna lisilowezekana kwa Mungu.
 
KAMA UNAAMNI, tafuta sehemu ambapo pana Mungu wa kweli kaombewe. Nimejionea mwenyewe mahali watu wakipona kisukari, hiv, tb nk. Hakuna lisilowezekana kwa Mungu.
Wewe ndo una muuwa mwenzakooo.

Anaomba dawa sio matumainii.

Sent using mt4 app
 
Wewe ndo una muuwa mwenzakooo.

Anaomba dawa sio matumainii.

Sent using mt4 app
na mimi sizungumzii habari ya matumaini au habari ya dawa, shida yake anataka kupona na kuwa mzima wa afya. mimi nimempa alternative b ambayo pia anaweza kupona kama ataona inamfaa. Kama ataona aimfai apotezee ila nimeona baadhi ya ndugu zangu wakiponywa na kurudi kupima tena hospitalini na kukuta hakuna ugonjwa. madaktari wanafanya kazi nzuri sana ambayo ni KUTIBU lakini MUNGU ANAPONYA
 
Pole sana kiongozi, Kisukari ni chronic illness, na haina tiba yakuondosha ugonjwa mmoja kwa mmoja ila kuna dawa za kumaintain certain level za sukari mwilini.

Itakua vizuri ukisema hili tatizo umelipata muda gani, je umezaliwa nalo au umelipatia ukubwani. Hivi vitu vitasaidia kujua dawa ya kutumia kwa sababu zinatafautiana pia.

Mbali na matumizi ya dawa mgonjwa wa kisukari anashauriwa kufata chakula maalumu (diabetic plate), mazoez angalau kwa dakika 30 yatakayokutoa majasho.

kwa uchache.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
na mimi sizungumzii habari ya matumaini au habari ya dawa, shida yake anataka kupona na kuwa mzima wa afya. mimi nimempa alternative b ambayo pia anaweza kupona kama ataona inamfaa. Kama ataona aimfai apotezee ila nimeona baadhi ya ndugu zangu wakiponywa na kurudi kupima tena hospitalini na kukuta hakuna ugonjwa. madaktari wanafanya kazi nzuri sana ambayo ni KUTIBU lakini MUNGU ANAPONYA
Ingekuwa basi vyema ukamwambia ni wapi hapo naye akaponywe.
 
KAMA UNAAMNI, tafuta sehemu ambapo pana Mungu wa kweli kaombewe. Nimejionea mwenyewe mahali watu wakipona kisukari, hiv, tb nk. Hakuna lisilowezekana kwa Mungu.
Nadhani itakuwa sahihi zaidi kama ukimshauri dawa au namna ya kuishi na huo ugonjwa.

Huko makanisani wanaweza mwambie aache dawa amtegemee Mungu mwisho wa siku mambo yatakuwa si mazuri.

Rejea maombi ya siku tatu dhidi ya Corona yamesaidia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Chakula chakula kina athiri sana sukari, angalia chakula unachokula.
Punguza wanga kwa asilimia kubwa, ukiweza kula vizuri hata dawa unaweza usiguse.

Ushauri wangu ni huu kwako.

Jitahidi kufanya mazoezi sio lazima ufanye mazoezi magumu la hasha hakikisha tu mwili unapata mazoezi

Jitahidi kuwa na muda wa kupumzika usiuchoshe sana mwili kwa shuhuli za kila siku

Kwenye vyakula sasa achana na wanga hapa nazungumzia ugali wali, ngano hata kama unatumia basi iwe kwa kiasi kidogo sana na chakula chako kikubwa kiwe mbogamboga na matunda yasiyo na sukari nyingi kama matango na mengineyo

Kunywa maji ya kutosha.

Epuka kuvaa viatu vinavyoweza kukusabababishia vidonda

Mengine nikikumbuka ntaongezea.
 
Pole sana kiongozi, Kisukari ni chronic illness, na haina tiba yakuondosha ugonjwa mmoja kwa mmoja ila kuna dawa za kumaintain certain level za sukari mwilini.

Itakua vizuri ukisema hili tatizo umelipata muda gani, je umezaliwa nalo au umelipatia ukubwani. Hivi vitu vitasaidia kujua dawa ya kutumia kwa sababu zinatafautiana pia.

Mbali na matumizi ya dawa mgonjwa wa kisukari anashauriwa kufata chakula maalumu (diabetic plate), mazoez angalau kwa dakika 30 yatakayokutoa majasho.

kwa uchache.

Sent using Jamii Forums mobile app
Miaka 6 kwasasa ninao naangaika nao
 
Habari Leo wadau naomba msaada as wadau kuhusu ugonjwa kisukari.nimeangaika kila kona nimekunywakaribu dawa nyingi na nimetumia hela nyingi sana mpk sasa nimekata tamaa naona nasubiri tu kudra za mungu manake hela tena sina sukari ipo juu kushuka ni mpk dawaza hospital inashuka kidogo tu.naomba msaada jamani sukari inanitesa nimeisha nimebaki skeleton
Pole mkuu kwa changamoto, na afadhali ata umechukua maamuzi ya kuandika humu utapata msaada, binafsi nina baba yangu mkubwa ambae anaishi nayo kitambo sana, mwaka 2017 kilimsumbua sana akakonda na ata kuona ikawa kwa tabu sana bt akaunganishwa na dr mmoja hvi wa muhimbili kitengo cha tiba asili akapewa dawa flan hvi kwenye kidumu cha lita tano kwakweli imemsaidia mnooo,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari Leo wadau naomba msaada as wadau kuhusu ugonjwa kisukari.nimeangaika kila kona nimekunywakaribu dawa nyingi na nimetumia hela nyingi sana mpk sasa nimekata tamaa naona nasubiri tu kudra za mungu manake hela tena sina sukari ipo juu kushuka ni mpk dawaza hospital inashuka kidogo tu.naomba msaada jamani sukari inanitesa nimeisha nimebaki skeleton

Umri wako boss miaka mingap sasa


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nadhani itakuwa sahihi zaidi kama ukimshauri dawa au namna ya kuishi na huo ugonjwa.

Huko makanisani wanaweza mwambie aache dawa amtegemee Mungu mwisho wa siku mambo yatakuwa si mazuri.

Rejea maombi ya siku tatu dhidi ya Corona yamesaidia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kutumia dawa ni jambo jema sana, nlikua najaribu kumpa alternative B sababu furaha yake kubwa ni kupona na kua na afya njema. kanisa haliwezi sema acha dawa na umtegemee Mungu huko kutakua ni kukosa maarifa. Daktari ndiye mwenye idhini ya kumwamia mhusika aache dawa na si makanisa. Any way, tuishie hapo
 
Kutumia dawa ni jambo jema sana, nlikua najaribu kumpa alternative B sababu furaha yake kubwa ni kupona na kua na afya njema. kanisa haliwezi sema acha dawa na umtegemee Mungu huko kutakua ni kukosa maarifa. Daktari ndiye mwenye idhini ya kumwamia mhusika aache dawa na si makanisa. Any way, tuishie hapo

Nimekuelewa vizuri mkuu, ila unaposema plan B maana yake aache plan A sababu imeshindwa.

Kuhusu kanisani mengi ya makanisa akienda ataambiwa aache dawa na kutegemea maombi.

Sijajua hao walioponea kanisani kama waliacha dawa au waliendelea kutumia dawa na maombi.
 
Back
Top Bottom