Sote tunapenda kihifadhi mazingira
Tunapenda hewa safi na mazingira yenye kijani kibichi ya kuvitia
Kwakuwa umeme wa Tz si wa uhakika, kwa wapenda mazingira gesi ndo ilikuwa mkombozi
Katika kipindi cha mwaka mmoja bei ya Gesi imepanda si chini ya mara nne
na kwa sasa pamoja na bei kupanda Hakuna Gesi ktk vituo vingi.
Katika hali hii ya mgao wa umeme, inatulazimu si kwa kupenda, si kwa kuto kujua madhara ila hatuna namna bali kutumia mkaa.
Tunapenda hewa safi na mazingira yenye kijani kibichi ya kuvitia
Kwakuwa umeme wa Tz si wa uhakika, kwa wapenda mazingira gesi ndo ilikuwa mkombozi
Katika kipindi cha mwaka mmoja bei ya Gesi imepanda si chini ya mara nne
na kwa sasa pamoja na bei kupanda Hakuna Gesi ktk vituo vingi.
Katika hali hii ya mgao wa umeme, inatulazimu si kwa kupenda, si kwa kuto kujua madhara ila hatuna namna bali kutumia mkaa.