Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
UZA NUNUA LINGINEHeshima kwenu.
Tatizo la gari yangu ni kuwa inachanganya oil na diesel. Yaani diesel inaingia kwenye oil.
Gari ni aina ya FUSO. Naomba msaada wa maarifa
Maranyingi huwa ni tatizo la pump,
Atakae muuzia nae atataka msaadaUZA NUNUA LINGINE
Umenunu aina gani ya hiyo lift pump zipo nyingine ni fake kabisa inapitisha diesel wakati ni mpya kabisa. Wachina wapo kazininimepeleka kwa fundi pump anasema ni lift pump. nikanunua ingine bado mchezo ni ule ule.
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari ipo wapi?Heshima kwenu.
Tatizo la gari yangu ni kuwa inachanganya oil na diesel. Yaani diesel inaingia kwenye oil.
Gari ni aina ya FUSO. Naomba msaada wa maarifa