Nimesikia watu wengi kwenye mtandao wakipigia debe elimu ya bure!! tatizo la pesa kweli lipo lakini vilevile hatuna madarasa ya kisasa, walimu wa kutosha na mbinu mpya za ufundishaji.
Tanzania haitaweza kufanya yote haya niliyoyataja kwa Tanzania nzima kwani wananchi wa Tanzania wametapakaa sana nchini na si rahisi kujenga shule kila mahali zenye kila kitu. Sasa badala ya kupiga debe ya elimu bure ni lazima tujiulize je ungekuwa na budget hiyo ungefanya nini tofauti kufundisha watoto wote.
Kwa wenye uwezo wa kulipia shule hawana budi kulipa hakuna sababu ya msingi ya nchi masikini kama Tanzania watoto waliotokea kwenye familia zenye uwezo wasome bure lakini kwa wale wasio na uwezo nakubaliana na wengi kwenye hilo. Mimi nilishatoa mawazo hapa yafuatayo
1. Wanafunzi wa vyuo vikuu wanao chukua mikopo na dhamana ya serikali ni lazima wafundishe miezi sita kabla ya kupewa vyeti vyao kama ilivyokuwa JKT. Hii itasaidia kupunguza gharama sana.
2. Kwenye ujenzi wa shule za Primary na Sekondari wakijenga wahusishe wenyeji. Hii itasadia wenyeji kuona ni part ya maendeleo yao na hii tabia wanafanya sana wachagga badala ya kusubiri serikali ifanye kila kitu.
3. Boarding School- Serikali ianzishe Boarding school kwa wilaya ambazo zina watu wachache hii itasaidia badala ya kuwa na shule nyingi kila mahali ni bora uwe na shule moja kubwa sehemu moja na watoto wa Primary na sekondari waweze kwenda.
4. Serikali isiruhusu shule zinazofelisha zifungwe au wabadilishe uongozi. Kama tatizo ni utamaduni wa jamii kama shule nyingi za Zanzibar wapeleke watoto shule za boarding.
5. Shele binafsi-Serikali ipige mahesabu ya gharama kwa mwanafunzi mmoja na iruhusu watu binafsi kujenga shule za kisasa na kuwapa hizo pesa shule zikifunguliwa kwa mwanafunzi. Kama zinafelisha zinafungwa
Tanzania haitaweza kufanya yote haya niliyoyataja kwa Tanzania nzima kwani wananchi wa Tanzania wametapakaa sana nchini na si rahisi kujenga shule kila mahali zenye kila kitu. Sasa badala ya kupiga debe ya elimu bure ni lazima tujiulize je ungekuwa na budget hiyo ungefanya nini tofauti kufundisha watoto wote.
Kwa wenye uwezo wa kulipia shule hawana budi kulipa hakuna sababu ya msingi ya nchi masikini kama Tanzania watoto waliotokea kwenye familia zenye uwezo wasome bure lakini kwa wale wasio na uwezo nakubaliana na wengi kwenye hilo. Mimi nilishatoa mawazo hapa yafuatayo
1. Wanafunzi wa vyuo vikuu wanao chukua mikopo na dhamana ya serikali ni lazima wafundishe miezi sita kabla ya kupewa vyeti vyao kama ilivyokuwa JKT. Hii itasaidia kupunguza gharama sana.
2. Kwenye ujenzi wa shule za Primary na Sekondari wakijenga wahusishe wenyeji. Hii itasadia wenyeji kuona ni part ya maendeleo yao na hii tabia wanafanya sana wachagga badala ya kusubiri serikali ifanye kila kitu.
3. Boarding School- Serikali ianzishe Boarding school kwa wilaya ambazo zina watu wachache hii itasaidia badala ya kuwa na shule nyingi kila mahali ni bora uwe na shule moja kubwa sehemu moja na watoto wa Primary na sekondari waweze kwenda.
4. Serikali isiruhusu shule zinazofelisha zifungwe au wabadilishe uongozi. Kama tatizo ni utamaduni wa jamii kama shule nyingi za Zanzibar wapeleke watoto shule za boarding.
5. Shele binafsi-Serikali ipige mahesabu ya gharama kwa mwanafunzi mmoja na iruhusu watu binafsi kujenga shule za kisasa na kuwapa hizo pesa shule zikifunguliwa kwa mwanafunzi. Kama zinafelisha zinafungwa