Mkuu jana sijui juzi tu wametangaziwa kuwa wa Dar wabaki Dar leo asubuhi Ubungo Terminal hapakanyagiki...….Ndicho kilichotokea kwenye jimbo moja la Italy...……..Watu walikimbilia jimbo lingine wakidhani watakuwa salama kumbe ndio wamepeleka maambukizi..(Hawa wetu wanakimbilia mikoani - pengine vijijini ambako wazee na wale wenye magonjwwa yasiyotibika wameshindikana na kurejeshwa vijijini ndio wapo...………) hatuombei ila tusikilizie tuKama tungekubaliana wote tungeiweka kwenye karantini mikoa yote yenye maambukizi. Hakuna mtu kutoka wala kuingia. Kama ni suala la uchumi tutalijadili baadaye baada ya kumpiga na kumshinda adui. Hivi anakosekana mwenye maamuzi wa kuwaza kama mimi?