Masulupwete
JF-Expert Member
- Feb 15, 2012
- 2,366
- 2,397
Harufu inatoka kwenye yale mashimo ya nje (septik) inarudi ndani ya nyumba (chooni).
Inakera sana, choo kinatoa harufu mbaya hata kama hakijatumika kabisa.
Hali hii inasababishwa na nini na je naweza kuizibiti vipi?
Inakera sana, choo kinatoa harufu mbaya hata kama hakijatumika kabisa.
Hali hii inasababishwa na nini na je naweza kuizibiti vipi?