Hali ya vyoo katika ofisi za forodha kwa wageni imekuwa tatizo kubwa sana tangu kituo hiki cha pamoja kati ya Tanzania na Zambia kilipofunguliwa.
Imekuwa ni kawaida kufungwa kila mara kwa sababu zisizojulikana hali ambayo inasababisha wageni wanaongia kutoka nchni za Kusini mwa Afrika kupata taabu wanapokuwa wanahitaji huduma hii.
Mpaka sasa choo hiki kimefungwa tangu Marais walipokuja kukifungua tarehe 5/10/2019 mpaka sasa. Tunaomba mamlaka zinazohusika washughulikie hili tatizo haraka iwezekanavyo ili kulinda hadhi ya nchi yetu.
Ni aibu sana mlango mkuu wa nchi kukosa huduma muhimu ya choo.
Imekuwa ni kawaida kufungwa kila mara kwa sababu zisizojulikana hali ambayo inasababisha wageni wanaongia kutoka nchni za Kusini mwa Afrika kupata taabu wanapokuwa wanahitaji huduma hii.
Mpaka sasa choo hiki kimefungwa tangu Marais walipokuja kukifungua tarehe 5/10/2019 mpaka sasa. Tunaomba mamlaka zinazohusika washughulikie hili tatizo haraka iwezekanavyo ili kulinda hadhi ya nchi yetu.
Ni aibu sana mlango mkuu wa nchi kukosa huduma muhimu ya choo.