Subira the princess
JF-Expert Member
- Mar 3, 2018
- 2,462
- 2,633
Wasalaam, naanza kwa kunukuu maneno ya mwl nyerere " upinzani wa kweli utatoka ccm" niliwahi kusema ccm ni janga la kitaifa sikueleweka lakini kufikia Leo dalili ziko wazi kwamba ccm inaenda kupasuka vipande viwili na kuzaa chama kikubwa cha upinzani kitakachoiondoa ccm madarakani 2020. Ccm imekosa mfumo wa kudumu na Sera mbadala ktk kutokomeza umasikini, kila mtawala anatawala kwa kanuni zake na sio kàtiba.
Tujiulize tumekwama wapi kama tatizo ni ccm tutumia haki ya kupiga kura kuiondoa ccm madarakani kupitia sanduku la kura pia kama tatizo ni mfumo ndani ya ccm kadhalika tuikatae ccm kupitia sanduku la kura. Mwisho namalizia kwa kunukuu kauli ya mwl nyerere kwamba, "atakaeiua ccm ni mwana ccm mwenyewe" ova
Tujiulize tumekwama wapi kama tatizo ni ccm tutumia haki ya kupiga kura kuiondoa ccm madarakani kupitia sanduku la kura pia kama tatizo ni mfumo ndani ya ccm kadhalika tuikatae ccm kupitia sanduku la kura. Mwisho namalizia kwa kunukuu kauli ya mwl nyerere kwamba, "atakaeiua ccm ni mwana ccm mwenyewe" ova