haa mym
JF-Expert Member
- Jul 7, 2014
- 4,823
- 4,556
Habarini wanajamvi.
Shida yangu ni kuhusu net katika simu yangu yaani nikijiunga na mb 200 basi ni dakika tu kinaisha wakati nimefungua data tu tena kwa kuperuzi tu jf ndani ya dakika 20 kinaisha.Au kuna kifurushi maalum kwa simu hizi,au ni setting tu.
Asanteh.
Shida yangu ni kuhusu net katika simu yangu yaani nikijiunga na mb 200 basi ni dakika tu kinaisha wakati nimefungua data tu tena kwa kuperuzi tu jf ndani ya dakika 20 kinaisha.Au kuna kifurushi maalum kwa simu hizi,au ni setting tu.
Asanteh.