Tatizo la bega kufyatuka

Mphamvu

JF-Expert Member
Jan 28, 2011
10,702
3,285
Mkono haujateguka wala haujavunjika, ila ukiunyanyua kuna kama nyama zinachanika, na mara moja moja huwa unafyatuka kabisa. maumivu ni makali sana. msaada jameni!
 
Hosp nimeshakwenda sana baada xray huwa napewa vidonge vya MUVERA
 
hospitali almost imeshindikana. picha za eksirei hazioneshi tatizo.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom