onesti shirima
Member
- Oct 26, 2015
- 55
- 18
WanaJF nimeleta huu Uzi tujadili kuhusu tatizo la ajira. Sote tunajua kuna vijana wengi mtaani wanalia ajira , pia tunajua jinsi gani mashule mengi hayana walimu.
Pia mahospitali wataalam hawatoshelezi . Je, Serikali yetu imeshindwa kuajiri ? Au haina imani na wahitimu?
Hebu tujadili kwa pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia mahospitali wataalam hawatoshelezi . Je, Serikali yetu imeshindwa kuajiri ? Au haina imani na wahitimu?
Hebu tujadili kwa pamoja
Sent using Jamii Forums mobile app