Emmanuel kyara
Member
- Aug 14, 2011
- 5
- 0
habari wanajamii ! mimi ninanduguyangu anamiaka 30 anatatizo la UTI anaambiwa uti sugu alipewa dawa haikusaidia akapigwa sindano za mishipa kwajili ya dawa kama marambili lakini bado mkojo ni mchafu alishafanya kipimo cha ultasound ,majibu hakuna shida ila saivi anasikia mfukuto juu ya kibofu cha mkojo kama kunawaka moto je anaweza akawa na tezi dume maana toka aanzekutumia dawa akikojoa mkojo unakua kama unaunguza inaweza ikawa nini tatizo naomeni ushauri thanx