MOLAM
Senior Member
- Oct 12, 2013
- 141
- 20
Hodi hodi asubuhi hii, ndugu zangu wanajamvi nimeamua kuwafuata asubuhi hii, kwanza kabisa niwaombe radhi wale wataalam wa Android kwa kuwa mimi pia nilijidai mtaalamu kumbe siwezi lolote.
(1)Mimi natumia simu ya huawei Y300, nashukuru niliomba msaada wa jinsi ya ku-root na nimefanikiwa, ila baada ya ku-root nikajikuta nimevuruga mno system na nime unistall baadhi ya app muhimu.
(2) Baadaye nikawa najaribu kufanya Bootloader unlocker, nahisi imekubali kwani wakati wa kuwasha haionyeshi tena logo ya huawei kuna neno la kiarabu linaonekana halafu lina fuatiwa na neno android.
Ombi/msaada/swali langu
Je, naweza kurudisha zile app muhimu zilizofutwa?
Je, wakati wa kuwasha simu logo ya huawei linaweza kurudi?
Au naweza kuandika kitu kingine likaonekana wakati wakuwasha simu?
Samahani kwa Typ nyingi, naomba kuweka mezani tayari kujadiliwa
(1)Mimi natumia simu ya huawei Y300, nashukuru niliomba msaada wa jinsi ya ku-root na nimefanikiwa, ila baada ya ku-root nikajikuta nimevuruga mno system na nime unistall baadhi ya app muhimu.
(2) Baadaye nikawa najaribu kufanya Bootloader unlocker, nahisi imekubali kwani wakati wa kuwasha haionyeshi tena logo ya huawei kuna neno la kiarabu linaonekana halafu lina fuatiwa na neno android.
Ombi/msaada/swali langu
Je, naweza kurudisha zile app muhimu zilizofutwa?
Je, wakati wa kuwasha simu logo ya huawei linaweza kurudi?
Au naweza kuandika kitu kingine likaonekana wakati wakuwasha simu?
Samahani kwa Typ nyingi, naomba kuweka mezani tayari kujadiliwa