kanyagio
JF-Expert Member
- Dec 10, 2009
- 1,021
- 365
taarifa za uhakika kutoka ndani ya Medical Store Department (MSD), wataalamu wa madawa (wafamasia wa mikoa, wilaya na hospitali) pamoja wale wa maabara inabainisha ukosefu mkubwa wa dawa mbalimbali za ARVs (za kurefusha maisha kwa wagonjwa wa UKIMWI) mfano atripla, nevirapine, pamoja na reagents za kupimia HIV na CD4. mfano ni mikoa ya kanda ya ziwa ikiwemo Mwanza na Mara, Kagera... ruvuma, Lindi, mtwara, Morogoro
maswali:
tujadili
maswali:
- Je wizara ya afya imeenda likizo sababu ya uchaguzi
- Je fedha za kununulia vitu hivyo imepelekwa uchaguzini?
- Je tunakubali ndugu zetu wateseke kwa ajili ya uzembe wa wachache?
tujadili